Wabunge wasiruhusiwe kuingia na simu bungeni

Wabunge wasiruhusiwe kuingia na simu bungeni

Nimeongelea simu sababu zinazuia mtu ku-concentrate.Hizo spy watch,spy pen na spy glass zako koko hazizuii concentration, zivae hata SPY SHANGA kiunoni ukitaka ninachoongelea ni Simu ambazo mtu badala ya kusikiliza anashinda kwenye simu

Huna lolote unadhan tumesahau maana ya uzi ulioleta jana hapa.
 
Mkuu ushauri wako mzuri mno.Uongozi wa bunge uzingatie hilo na misikiti,makanisa yote inabidi wauchukue huo ushauri.Simu zimekuwa kero hata nyumba za ibada pia.
Hata majumbani na maofisini zimekuwa kero waweke hivyo vifaa.

Hamjielewi mnataka nini ndiyo tatizo lenu
 
mtoa mada hicho unachotaka kwa wabunge,,kifanywe kwa watu wote wakiwa wanaenda makazini sim waache nyumbani



hapo tutakuwa tumeenda sawa
 
Kila kinachoendelea bungeni tutakipata kama kilivyo kupitia Ukawa , kama waliweza kuleta pen zilizowaumiza akina kabwe na madabida group leo watashindwa nini ambacho ni kipya?
 
waanze kwa kuwapa wabunge wa ccm vidonge vya kutolala,yaani piga ua galagaza hulali,hata kama hujalala siku mbili ukipiga hivyo vidonge bungeni hulali
 
Hii nchi bwana....! Yaani mzazi akifikiria jinsi alivyojinyima ili kumpatia elimu kijana wake, natumai chozi linamdondoka tu. Kwani mmmh......!
 
Mashule na vyuo huwa hawaruhusu simu darasani.Lengo likiwa kuwafanya wasome.Wa-concentrate kwenye kusoma.

Wabunge wapigwe marufuku kuingia na simu bungeni.Wasachiwe kuhakikisha hamna mwenye simu kabla ya kuingia ili kuwafanya wa-concentrate kwenye shughuli za bunge wakiwa bungeni badala ya wengine ku-chat kwenye watsapp na kuangalia movie kwenye simu wakiwa bungeni.
Motive ya hoja yako ni muendelezo ya kutafuta namna ya kuhakikisha kuwa zile hoja zinazoibana serikali husiwepo uwezekano wa taarifa kifika kwa wananchi kwa wakati na kwa namna ileile jinsi jambo husika lilivyojadiliwa.Hapa hutaki hata clip zile zinazoonesha jinsi wabunge watakavyokuwa wanachangia hoja husika bungeni,ndio maana natangazo ya live yamezuiliwa na hata vyombo binafsi vimezuiliwa.
 
Mashule na vyuo huwa hawaruhusu simu darasani.Lengo likiwa kuwafanya wasome.Wa-concentrate kwenye kusoma.

Wabunge wapigwe marufuku kuingia na simu bungeni.Wasachiwe kuhakikisha hamna mwenye simu kabla ya kuingia ili kuwafanya wa-concentrate kwenye shughuli za bunge wakiwa bungeni badala ya wengine ku-chat kwenye watsapp na kuangalia movie kwenye simu wakiwa bungeni.


Lengo lako ni hili wasichukue matukio ya mnavoburuzwa kwa hoja. Kama ulisoma chuo na simu iilkuwa hairusiwi hakikuwa chuo bali college tena mnapikiwa na mnakula kwa foleni. na pili sio mashule ni SHULE binafsi nimesoma shule na nilikuwa na simu pole
 
Ngoja wapinzani waanze kuzunguka nchi nzima maana habari hazifichiki karne ya 21
 
Mashule na vyuo huwa hawaruhusu simu darasani.Lengo likiwa kuwafanya wasome.Wa-concentrate kwenye kusoma.

Wabunge wapigwe marufuku kuingia na simu bungeni.Wasachiwe kuhakikisha hamna mwenye simu kabla ya kuingia ili kuwafanya wa-concentrate kwenye shughuli za bunge wakiwa bungeni badala ya wengine ku-chat kwenye watsapp na kuangalia movie kwenye simu wakiwa bungeni.
Elimu,Elimu,Elimu wapi shule na bunge vinashabihiana
 
Back
Top Bottom