Wabunge wapunguziwe Posho ili kufidia tozo na kuwapa morali wananchi kulipa tozo

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Just Iam kidding

Hivi kuna ubaya gani wabunge wakawa wa mfano kujipunguzia posho zao kwa siku kutoka kulipwa posho zaidi ya TZS 250,000 kwa siku wakalipwa TZS 25,000 kwa siku kuonyesha vita ya Ukraine na Urusi imeathiri uchumi wetu

Mawaziri nao wakaamua kutumia IST au RAV 4 kama usafiri kukwepa mafuta na hata wale manaibu wakatumia boda boda ili kuonyesha kweli uchumi wetu ni mbovu na vita vimetuathiri sana vya Ukraine na Urusi

Wabunge ambao ni Mawaziri kwanini wasiamue Waache mshahara aidha wa ubunge au uwaziri, Wapokee mshahara mmoja wapo tu kuonyesha uzalendo

Note:

Hizi hoja naongea hapa JF, Bungeni ukiyaongea haya utasababisha vita ya maneno mpaka watu kukufuata unakoishi kukuomba uiondoe hoja mezani na uonyeshe wabunge wana kazi nyingi na wanahitaji pesa nyingi
 
Wabunge Wenyewe Wameshindwa kupinga Sheria ya Kikokotooo ya Mafao ya Wastaafu. Na Watu wote wakakaaa kimya juu ya Sheria hii Kandamizi.
 
Ili nao wajue moto tunaokalia sisi wananchi, naunga mkono hoja
 
Just Iam kidding

Hivi kuna ubaya gani wabunge wakawa wa mfano kujipunguzia posho zao kwa siku kutoka kulipwa posho zaidi ya TZS 250,000 kwa siku wakalipwa TZS 25,000 kwa siku kuonyesha vita ya Ukraine na Urusi imeathiri uchumi wetu

Mawaziri nao wakaamua kutumia IST au RAV 4 kama usafiri kukwepa mafuta na hata wale manaibu wakatumia boda boda ili kuonyesha kweli uchumi wetu ni mbovu na vita vimetuathiri sana vya Ukraine na Urusi

Wabunge ambao ni Mawaziri kwanini wasiamue Waache mshahara aidha wa ubunge au uwaziri, Wapokee mshahara mmoja wapo tu kuonyesha uzalendo

Note:

Hizi hoja naongea hapa JF, Bungeni ukiyaongea haya utasababisha vita ya maneno mpaka watu kukufuata unakoishi kukuomba uiondoe hoja mezani na uonyeshe wabunge wana kazi nyingi na wanahitaji pesa nyingi
Naunga mkono hoja! nchi yakwetu sote tuijenge kwa usawa
 
Just Iam kidding

Hivi kuna ubaya gani wabunge wakawa wa mfano kujipunguzia posho zao kwa siku kutoka kulipwa posho zaidi ya TZS 250,000 kwa siku wakalipwa TZS 25,000 kwa siku kuonyesha vita ya Ukraine na Urusi imeathiri uchumi wetu

Mawaziri nao wakaamua kutumia IST au RAV 4 kama usafiri kukwepa mafuta na hata wale manaibu wakatumia boda boda ili kuonyesha kweli uchumi wetu ni mbovu na vita vimetuathiri sana vya Ukraine na Urusi

Wabunge ambao ni Mawaziri kwanini wasiamue Waache mshahara aidha wa ubunge au uwaziri, Wapokee mshahara mmoja wapo tu kuonyesha uzalendo

Note:

Hizi hoja naongea hapa JF, Bungeni ukiyaongea haya utasababisha vita ya maneno mpaka watu kukufuata unakoishi kukuomba uiondoe hoja mezani na uonyeshe wabunge wana kazi nyingi na wanahitaji pesa nyingi
Unasemaje wewe Wapunguziwe Posho na Mishahara wakati Wanajiandaa KUONGEZEWA?
mvt0m.jpg
 
Nakuunga mkono wazo lako. Tuje na mikakati mizuri zaidi ya hiyo kwa mfano tunge tazama mbali zaidi na kwa malengo ya muda mrefu, badala ya kulazimisha kuongeza matozo kwenye miamala inayofanyika bank na kuwaumiza wateja, wange pambana kuelimisha watu wasio hifadhi pesa bank ambao wako wengi tu wanaohifadhi pesa nyumbani wahamasike kufungua Account bank na hapo tayari watakuwa wameongeza mapato bila kuumiza wachache. Lkn sasahivi hata kama wapo ambao waliokuwa wanahamasika kufungua Account bank wamepeperushwa kabisa.
 
Just Iam kidding

Hivi kuna ubaya gani wabunge wakawa wa mfano kujipunguzia posho zao kwa siku kutoka kulipwa posho zaidi ya TZS 250,000 kwa siku wakalipwa TZS 25,000 kwa siku kuonyesha vita ya Ukraine na Urusi imeathiri uchumi wetu

Mawaziri nao wakaamua kutumia IST au RAV 4 kama usafiri kukwepa mafuta na hata wale manaibu wakatumia boda boda ili kuonyesha kweli uchumi wetu ni mbovu na vita vimetuathiri sana vya Ukraine na Urusi

Wabunge ambao ni Mawaziri kwanini wasiamue Waache mshahara aidha wa ubunge au uwaziri, Wapokee mshahara mmoja wapo tu kuonyesha uzalendo

Note:

Hizi hoja naongea hapa JF, Bungeni ukiyaongea haya utasababisha vita ya maneno mpaka watu kukufuata unakoishi kukuomba uiondoe hoja mezani na uonyeshe wabunge wana kazi nyingi na wanahitaji pesa nyingi
wakatwe posho na kodi alipe.
 
Back
Top Bottom