The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
ukisikiliza wabunge unaweza kucheka kwa kweli
wote wanajisahau kuwa wanawakilisha majimbo yao huko makwao
kutwa wanazungumzia daresaalam
yaani hawana aibu tena kuwa wote wanaishi daresalaam...
mbunge wa mafia alivyozungumzia ishu ya uda tena kwa hasira
mwingine wa lindi alizungumzia sana police kilwa road
na mwingine wa zanzibar alizungumzia sana wasomali wa kunduchi
immekuwa kama fasheni unakuta mbunge wa kigoma mfano
lakini anasimama bungeni na kusema "mimi naishi pale kunduchi"
mimi huwa najiuliza,sasa waliowapigia kura wanajisikiaje?????????
mbona wabunge wote wanazungumzia kero za daresalaam??????????
wote wanajisahau kuwa wanawakilisha majimbo yao huko makwao
kutwa wanazungumzia daresaalam
yaani hawana aibu tena kuwa wote wanaishi daresalaam...
mbunge wa mafia alivyozungumzia ishu ya uda tena kwa hasira
mwingine wa lindi alizungumzia sana police kilwa road
na mwingine wa zanzibar alizungumzia sana wasomali wa kunduchi
immekuwa kama fasheni unakuta mbunge wa kigoma mfano
lakini anasimama bungeni na kusema "mimi naishi pale kunduchi"
mimi huwa najiuliza,sasa waliowapigia kura wanajisikiaje?????????
mbona wabunge wote wanazungumzia kero za daresalaam??????????