lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Hivi serikali bado imekomalia kuwalipa hawa jamaa? Maana enzi za sakata hili serikali ilisema ingetumia wataalamu na wanasheria wake ili kulitazama suala hili kiufundi zaidi, ili ikiwezekana fedha hizo zisilipwe, au la la zilipwe kidogo. hapa naona km vile tunaelekea kulipa!
Hivi serikari ni nani hasa!!! .....katika hili suala la Dowans, serikari ni watu. Wetu wenyewe ni sisi na kwa vile sote hatuwezi kwenda Magogoni wameteuliwa (WATEULE) wenzetu wachache kwa niaba yetu na hawa ndio wenye DOWANS.
Kwa maana nyepesi ni kuwa pamoja na pensheni na mafao mengine tunayowapa (out of our sweat) hawajaridhika nayo na wanajiongezea kwa kuilipa dowans ...amabyo ndio wao wenyewe.
Je, haya ni matatizo ya kawaida au ni laana!? Tuendelee kuzunguka mbuyu tu!!!