Sasa nimeelewa kwa nini taarifa ya kamati ilipokelewa nje ya bunge, kumbe serikali na bunge waliogopa kulamba hansadi zao.!
Hii ingekuwa aibu kwa bunge na serikali kwa ujumla....bila shaka upinzani ungewachapa na hansadi zile zile za 2015.
Wabunge wale wale, chama kilekile serikali ile ile....cha ajabu wanakishangaa walichokipitisha miaka miwili nyuma..
Hii aibu sana kama Taifa.!