Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.

Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.
 
nakichukia sana chadema ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa tundu lissu, godless, sugu,mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Jf' haki mmeinunua chadema, hadhi yake imepotea kwakuendeleza mapenzi yasio na mipaka, haya mod's ondoeni na haya mawazo yangu.
hivi kweli haya ni mawazo,
 
Mvaa Tai is trying to delete this.............................. Oooops!! consult administrator!!!!!
 
Kama Tundu Lissu ni kilaza, basi hakuna mwenye akili nchi hii,
wamebaki mazombie tu, good for nothing.
Nakichukia sana chadema ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa tundu lissu, godless, sugu,mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Jf' haki mmeinunua chadema, hadhi yake imepotea kwakuendeleza mapenzi yasio na mipaka, haya mod's ondoeni na haya mawazo yangu.
 
Nakichukia sana chadema ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa tundu lissu, godless, sugu,mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Jf' haki mmeinunua chadema, hadhi yake imepotea kwakuendeleza mapenzi yasio na mipaka, haya mod's ondoeni na haya mawazo yangu.

Mnawahara hawa!! Wanawatoa usingizini na matongotongo yenu!! unalipwa ngapi kwa post moja?
 
Nakichukia sana chadema ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa tundu lissu, godless, sugu,mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Jf' haki mmeinunua chadema, hadhi yake imepotea kwakuendeleza mapenzi yasio na mipaka, haya mod's ondoeni na haya mawazo yangu.
kama mimi ninavyokichukia chama cha mapinduzi, ningekuwa mimi ningekuwa spika nisingeruhusu mwigulu nchemba, kigwangala, serukamba na hata lusinde kunyanyua mdomo bungeni!
 
kwa hiyo nkamia, mwigulu na serukamba wewe ndo wamekufurahisha, kazi kweli

Nami nilitaka kumuuliza hili swali!! Hawa wanaoropoka matusi ya nguoni anasemaje? Alishasikia mbunge wa CDM ametukana tusi la nguoni bungeni!! wao CD wanatoa hoja za msingi na kuomba miongozo maana hamjui kuongoza bunge halafu mnawafukuza!! Katika miaka yangu hii zaidi ya nusu karne sijawahi kuona bunge linaongoza kwa kutakiwa miongozo kama hili la Makinda na Ndugai. Incompetent ever!! There to save mafisadi na wezi wa rasilimali za taifa hili!! Mali za taifa ni za wananchi wote regardless of political tie/affiliation. Come on waende shule badala ya kutukana.
 
Mnawahara hawa!! Wanawatoa usingizini na matongotongo yenu!! unalipwa ngapi kwa post moja?
Mkuu nikiwa mitaa ya lumumba halafu nikiona nauli haitoshi huwa nalogin JF na ID yangu ya kuiponda CDM halafu ikionekana kwa Nape huwa sikosi 5000/=
 
Nakichukia sana chadema ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa tundu lissu, godless, sugu,mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Jf' haki mmeinunua chadema, hadhi yake imepotea kwakuendeleza mapenzi yasio na mipaka, haya mod's ondoeni na haya mawazo yangu.

Waliosema "Mbwa", "Faka you" na "mchungaji wa Nguruwe" wote ni CHADEMA. kweli kuna haja ya kuwapima akili ikiwa ni pamoja na wewe mleta mada..
 
Mkuu nikiwa mitaa ya lumumba halafu nikiona nauli haitoshi huwa nalogin JF na ID yangu ya kuiponda CDM halafu ikionekana kwa Nape huwa sikosi 5000/=

Bora mkuu uwaumbue tu, yaani haina kazi ya maana ni rushwa tu kuanzia kwa kofia, kununua kadi za wapiga kura, khanga, wali wa maharage. Yaani sijui niseme nini!! Miporojo tu imewajaa. Watanzania wanataka wasikie hoja za maana bunge la bajeti wao wanarushiana taarabu na matusi. Wale wanaotoa hoja za maana wanafukuzwa nje.
 
Mbowe anafikiri kuongoza upinzani Bungeni ni kutembea kwa landcruiser ya serikali tu!!!

Uongozi wa upinzani umemshinda, sasa hivi wabunge wa chadema wanajiendea tu kama mbuzi wa Vingunguti wasiokuwa na mchungaji...

Hamad Rashid aliongoza vizuri upinzani Bungeni...
 
Nami nilitaka kumuuliza hili swali!! Hawa wanaoropoka matusi ya nguoni anasemaje? Alishasikia mbunge wa CDM ametukana tusi la nguoni bungeni!! wao CD wanatoa hoja za msingi na kuomba miongozo maana hamjui kuongoza bunge halafu mnawafukuza!! Katika miaka yangu hii zaidi ya nusu karne sijawahi kuona bunge linaongoza kwa kutakiwa miongozo kama hili la Makinda na Ndugai. Incompetent ever!! There to save mafisadi na wezi wa rasilimali za taifa hili!! Mali za taifa ni za wananchi wote regardless of political tie/affiliation. Come on waende shule badala ya kutukana.

Aliyetukana kakosea na kaomba msamaha ila inakuaje mbunge unaamrishwa na spika ukae au kutoka ukumbini unakataa wewe kama si ganja ni nini? Nani anakuongoza bungeni?
 
Waliosema "Mbwa", "Faka you" na "mchungaji wa Nguruwe" wote ni CHADEMA. kweli kuna haja ya kuwapima akili ikiwa ni pamoja na wewe mleta mada..

Baba V hawa wanaumwa yale magonjwa aliyoteremsha hapa Dr, A Partine kwa Chris Lukosi!! Yaani wako ICU wanapumulia carbonmonoxide.
 
Nakichukia sana chadema ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa tundu lissu, godless, sugu,mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Jf' haki mmeinunua chadema, hadhi yake imepotea kwakuendeleza mapenzi yasio na mipaka, haya mod's ondoeni na haya mawazo yangu.

Hujui maana ya neno kanjanja;
Kama umeongwa kuchafua hewa; kakojoe ukalale wenye akili waendelee kutoa mada za kueleweka tupanuane mawazo. CCM ndo ina makanjanja kibao, inawezekana hata wewe ni kanjanja.
 
Back
Top Bottom