EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Wengi tunajua yanayoendelea Arusha ambapo viongozi wakuu wa Chadema akiwemo Kiongozi wa Kambi ya upinzani yuko uwanja wa NMC hadi siku Mb wa Arusha mjini Mh. Lema atakapotoka rumande. Je itakuwa busara kwa wabunge waliotangulia Dodoma kesho kuingia bungeni wakati mwenzao anayepigania haki yao yaani unyanyasaji wa polisi kuingia bungeni?