Wabunge wa CCM wameingia mitini

Wabunge wa CCM wameingia mitini

wanamgomea mkubwa wao kisa amewadharau kwa kuwakubalia chadema na kufuta posho, mimi binafsi ningekuwa JK ningevunja bunge halafu wote waliokuwa wabunge wa CCM hawataruhusiwa kugombea tena ubunge kupitia CCM. ova
 
Msiwe mnadanganya hata kwa vitu vinavyoonekana bana! wengi tunaangalia TV, wabunge wa CCM wako wengi mbona?
 
dhambi waliyofanya mwaka jana kuupitisha mswada wakatiba ndiyo inawahukumu. Wanaogopa kula matapishi yao.

Tatizo la wabunge wa magamba ni kupongezana kwa anayekwiba na baadae akakamatwa akakubari kosa. Ujinga huu mpaka lini? Naona magamba wanapongezana kwa wizi ulofanywa na wawekezaji ktk gas. Ujinga huu. Dakika kumi pongezi na dakika tano kuchangia. Ujinga huo. Unampongeza ngereja kwa lipi hasa jamani? Magamba finito!!
 
hata zile meza hazisikiki zikipigwa. wanao piga meza ni kama watu wanne tu. halafu wengi walio hudhulia inaonekana ni wanawake. ova
 
Msiwe mnadanganya hata kwa vitu vinavyoonekana bana! wengi tunaangalia TV, wabunge wa CCM wako wengi mbona?

hao wengi umewaonaje wakati T.V inamuonyesha muongeaji na viti viwili vya nyuma.acha uongo
 
Tujuzeni jamani wenzenu naona ving'amuzi vimegoma kuonyesha,ila inasikitisha sana kuona nchi hii inaenda mlama namna hii
 
Back
Top Bottom