Hilo RUNGU labda kwa direct current wa Kazi JobuKuingia bungeni sio swala la hiari .WApiga kura wamewapigia kura wabunge waingie bungeni sio wajichagulie kama wanataka kuingia au hawataki.Ningekuwa Dodoma ningenunua rungu niwakimbize wabunge wa UKAWA waingie bungeni kwa nguvu.Kazi waliyotumwa ni kuwemo bungeni sio nje ya bunge vikao vinapoendelea.
punguza kunyonga dogo. Kuna ukweli uliouona kuhusu wabunge wa ukawa. Na unawakubali kiukweli kuwa ni watu makini wenye hoja za kuijenga na kusaidia taifa. Hawa wapo makini hata ukiwasikiliza kuna mambo utagundua hayapo sawa na yanahitaji kuachwa, kuboreshwa na au kutumiwa na mnaoongoza nchi. Haihitajiki nguvu kubwa kucut na kupaste kwa ustawi wa taifa. Na kuonyesha kuwa unawakubali ni hii nia yako ya kuwepo dodoma na rungu mkononi ili uwalazimishe wabunge wa ukawa wahudhurie na kushiriki mijadala ya bunge.Kuingia bungeni sio swala la hiari .WApiga kura wamewapigia kura wabunge waingie bungeni sio wajichagulie kama wanataka kuingia au hawataki.Ningekuwa Dodoma ningenunua rungu niwakimbize wabunge wa UKAWA waingie bungeni kwa nguvu.Kazi waliyotumwa ni kuwemo bungeni sio nje ya bunge vikao vinapoendelea.
Hata Senegal tu imetuzid Demokrasia