mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asprin nimecheka hadi aibu mbele za watu
Bunge kibogoyo na vichekesho umenikumbusha wale 'ZE COMEDI' sijui wako wapiMifumo ya chama chenu enyi wabunge wa CCM, inaonekana kuwajenga katika misingi ya ushabiki, kuimba na kupiga mapambio juu ya watawala na viongozi wenye mamlaka mbalimbali.
Hebu tujikumbushe maneno ya 'BWEGE' kdogo, "UMESHIBA-NDIYO, UNANJAA-NDIO" yaan wabunge mbumbumbu Kila kitu ndiyo limradi pendekezo au muswada umetoka kwa mtawala!
Hamjui mko hapo mjengoni il kutafakari badala ya wananchi kwa maslah ya taifa letu? Badala ya kujikita kwenye agenda zinazoshikilia mustakabali wa taifa letu mnajikita kwenye Legacy kuwa agenda ya nchi, mara vijembe kwa watu wanaosimama na kuwakosoa mfano CAG na MBOWE, mnageuza Bunge kuwa sehemu ya kufanyia propaganda na vichekesho mpaka Raisi wa JMT anawaweka bayana kuwa mijadala inayoendelea bungeni haina afya!!! Shame on you!
Hitimisho
Kosa si kosa ila kosa kurudia kosa, jikiteni kwenye agenda znazoleta tija kwa maslah mapana ya nchi yetu, wote tunaipenda nchi yetu, tunaumia Sana mnapokwenda tofaut na majukum yenu ya kikatiba.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA.
Well saidMifumo ya chama chenu enyi wabunge wa CCM, inaonekana kuwajenga katika misingi ya ushabiki, kuimba na kupiga mapambio juu ya watawala na viongozi wenye mamlaka mbalimbali.
Hebu tujikumbushe maneno ya 'BWEGE' kdogo, "UMESHIBA-NDIYO, UNANJAA-NDIO" yaan wabunge mbumbumbu Kila kitu ndiyo limradi pendekezo au muswada umetoka kwa mtawala!
Hamjui mko hapo mjengoni il kutafakari badala ya wananchi kwa maslah ya taifa letu? Badala ya kujikita kwenye agenda zinazoshikilia mustakabali wa taifa letu mnajikita kwenye Legacy kuwa agenda ya nchi, mara vijembe kwa watu wanaosimama na kuwakosoa mfano CAG na MBOWE, mnageuza Bunge kuwa sehemu ya kufanyia propaganda na vichekesho mpaka Raisi wa JMT anawaweka bayana kuwa mijadala inayoendelea bungeni haina afya!!! Shame on you!
Hitimisho
Kosa si kosa ila kosa kurudia kosa, jikiteni kwenye agenda znazoleta tija kwa maslah mapana ya nchi yetu, wote tunaipenda nchi yetu, tunaumia Sana mnapokwenda tofaut na majukum yenu ya kikatiba.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA.
Subwoofer na msukuma na kibajaj ndio wanaongoza kucheza hiyo ngoma ya gobogobo
NdiyoooooooooooooChama dhaifu lazima kizae wabunge dhaifu....
Kwa mparangeKama hivi
Hahahaaaa shuka la.....????Duuuuuu! Hapo keshapewa mchele kilo 5, unga kilo 5, na shuka la CCM!
Huku Kalenga tunaita " kujideula"
Kikwetu ni chakula kilichochacha kikianza kuwa rojo ndio tunasema kimedemka
Umenena vizuri ngoja waje wenye ccmMifumo ya chama chenu enyi wabunge wa CCM, inaonekana kuwajenga katika misingi ya ushabiki, kuimba na kupiga mapambio juu ya watawala na viongozi wenye mamlaka mbalimbali.
Hebu tujikumbushe maneno ya 'BWEGE' kdogo, "UMESHIBA-NDIYO, UNANJAA-NDIO" yaan wabunge mbumbumbu Kila kitu ndiyo limradi pendekezo au muswada umetoka kwa mtawala!
Hamjui mko hapo mjengoni il kutafakari badala ya wananchi kwa maslah ya taifa letu? Badala ya kujikita kwenye agenda zinazoshikilia mustakabali wa taifa letu mnajikita kwenye Legacy kuwa agenda ya nchi, mara vijembe kwa watu wanaosimama na kuwakosoa mfano CAG na MBOWE, mnageuza Bunge kuwa sehemu ya kufanyia propaganda na vichekesho mpaka Raisi wa JMT anawaweka bayana kuwa mijadala inayoendelea bungeni haina afya!!! Shame on you!
Hitimisho
Kosa si kosa ila kosa kurudia kosa, jikiteni kwenye agenda znazoleta tija kwa maslah mapana ya nchi yetu, wote tunaipenda nchi yetu, tunaumia Sana mnapokwenda tofaut na majukum yenu ya kikatiba.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA.
Kama hivi
Kuna niniKwa mparange
Dawa ni kulivunja tu hili Bunge tuanze upyaaaahhhhh !!!! Kwani hawa watakuja kumchenjia mama kwa wingi wao wakamng'oa,bora awawahi.Unasahau au unajisahaulisha makusudi?
Wabunge waliopo bungeni hawajatokana na wananchi Bali ni wabunge wa magufuli aliowaanda kumsifia, kumshangilia na kumpigia vigelegele!
Mama Samia analijua vyema hili kuwa, wabunge wanamwakilisha magu na siyo wananchi ambao hawakuwapigia Kura ya kuchaguliwa!
Kifupi wananawakomeaha wananchi kwa ni hawakuwachagua!
Poty hii yenyewe kabisa!
Kikwetu ni chakula kilichochacha kikianza kuwa rojo ndio tunasema kimedemka
Kama mlenda vile.Bunge rojorojo
Wataalam wa kudemka katika ubora wao kudadadeq walahiWazee wa mauno hao - Kigogo anapiga ngoma wao ni kukata mauno mwanzo mwisho - acha kabisa !!
Angeanza na SubwooferAcha waendelee 'kudemka' kama mama hajala kichwa cha mtu