mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
Wabunge wa CCM ni Ze comedy?
Baada ya Mbunge wa Kilindi Chama Cha Magamba (CCM), Beatrice Shellukindo kumtuhum Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo. Bwana jailo alijibu tuhuma hizo kwa kusema "Wabunge wa CCM ni Ze comedy" nao Wabunge hao wa Chama Cha Magamba wakaja juu sana katika kikao chao cha ndani. Jee kunaweza kuwa na ukweli kuwa wabunge wa CCM ni sawa na Ze comedy?
Baada ya Mbunge wa Kilindi Chama Cha Magamba (CCM), Beatrice Shellukindo kumtuhum Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo. Bwana jailo alijibu tuhuma hizo kwa kusema "Wabunge wa CCM ni Ze comedy" nao Wabunge hao wa Chama Cha Magamba wakaja juu sana katika kikao chao cha ndani. Jee kunaweza kuwa na ukweli kuwa wabunge wa CCM ni sawa na Ze comedy?