Menyainganyi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 1,170
- 1,106
Ewe punguani haujuwi kuwa pale kuna wanachama wa kambi tofauti?
Sasa mbunge wako kama anaakili anachotakiwa awakinashe wa chama kingine wamuunge mkono. Na tumeshawahi kuona kuna hoja wabunge wa vyama vyote wanaziunga mkono wakiona zina maslahi ya jumla kwa Taifa. Hujayaona wewe?
Lakini hivi vi hoja vya mradi tu mpinzani anapinga kwa kuwa ni mpinzani, hivyo tunawahenyesha tu.
CCM lazima watazidi kumchukia maana amewapa " MAKAVU LIVE" bila kupepesa macho
mambo bado. Mungu ataenda kufunua kila kilichojificha kutokana na maombi ya kilio cha watu wake. Subirini muone ukuu wa munguit is so called "kali ya mwaka"
HUU NDIO UJINGA UNAOANGAMIZA TZ!Bila kutoka kwenye mawazo mfu nchi itaendelea kuangamia,mabunge yote ulimwenguni hujadili hoja iliyoko mezani!haijalishi nani aliyeitoa so long as ni kwa masilahi ya nchi,mtajifunza lini enyi wabunge?Vyama vitapita ila TZ alioicha mwalimu itakuwepo kwa hiyo TZ KWANZA NA SIO USHABIKI WA KIJINGA WA VYAMA...Huitaji kuwa na degree kutambua upumbavu wa wabunge wa CCM.. Hichi kisa kimetokea muda huu bungeni.
Baada ya Ester Matiko kutoa hoja, sasa Naibu Spika anahoji bunge..
Naibu Spika : Wanaohafiki hoja ya Ester Bulaya (alikosea jina) waseme NDIO..
Wabunge wa CCM: Ndioooooooooooo
Naibu Spika : Samahani sio Ester Bulaya, ngoja nihoji tena "Wanaohafiki hoja ya Ester Matiko wasime ndio"
Wabunge wa CCM : "kimya"
Naibu Spika : wasiohafiki hoja ya Ester Matiko wasime sio.
Wabunge wa CCM : Siooooooooo
Ina maana wao wanapiga kura kwa kusikiliza mijadala au kusikiliza majina?? Ina maana kama jina ni la mpinzani jibu ni sio hata kama hoja hiyo inafaa. Maana mwanzo walipohoji kwa jina la Ester Bulaya waliikubali hoja..
[/SIZE]