Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,713
- Thread starter
-
- #21
Kwamba hatma ya nchi hii imekuwa, iko na wako wanaotaka iendelee kuwa mikononi mwa hawa wajinga, wapuuzi na wapumbavu inashangaza, inasikitisha, inaudhi na inakasirisha.
Tubadilishe Serekali October kwenye Sanduku la kura hiyo ndio inayowafa tu
Ingawaje Siko Chama Chochote Lakini Nimeona Jinsi Uchama Unatumika Bungeni Hata Kama Kuna Jambo Lenye Maslahi Kwa Taifa Linaweza Kukwamishwa Kwasababu Ya Uchama
Kuna ck nitafanya jambo hamtaamini maana inakela sn
Wamechoka kabisa Rage ameonekana anawasifia wapemba at the end wameshambulia kuwa anawabagua kwa kuwataja kuwa wao ni wapemba although rage alimanisha kuwa nchi hii ni wote hata tabora wapo wanafanya kazi zao kama watanzania na hawabaguliwi lakini hili wabunge toka Zanzibar hasa CCM waliona kama anawabagua huku ni full kuchanganyikiwa
Tubadilishe Serekali October kwenye Sanduku la kura hiyo ndio inayowafa tu
Huitaji kuwa na degree kutambua upumbavu wa wabunge wa CCM.. Hichi kisa kimetokea muda huu bungeni.
Baada ya Ester Matiko kutoa hoja, sasa Naibu Spika anahoji bunge..
Naibu Spika : Wanaohafiki hoja ya Ester Bulaya (alikosea jina) waseme NDIO..
Wabunge wa CCM: Ndioooooooooooo
Naibu Spika : Samahani sio Ester Bulaya, ngoja nihoji tena "Wanaohafiki hoja ya Ester Matiko wasime ndio"
Wabunge wa CCM : "kimya"
Naibu Spika : wasiohafiki hoja ya Ester Matiko wasime sio.
Wabunge wa CCM : Siooooooooo
Ina maana wao wanapiga kura kwa kusikiliza mijadala au kusikiliza majina?? Ina maana kama jina ni la mpinzani jibu ni sio hata kama hoja hiyo inafaa. Maana mwanzo walipohoji kwa jina la Ester Bulaya waliikubali hoja..
Ulimwengu Mbaya, kupitisha ama kukwamisha jambo hata likiwa na maslahi ya taifa hakutegemei Uchama, kunategemea UCCM, period. Idadi ya Wabunge wa CCM huko bungeni ni zaidi ya robo tatu na kwa msingi huo Uchama wa Vyama vingine vya Upinzani una zero effect katika maamuzi ya Bunge.Ingawaje Siko Chama Chochote Lakini Nimeona Jinsi Uchama Unatumika Bungeni Hata Kama Kuna Jambo Lenye Maslahi Kwa Taifa Linaweza Kukwamishwa Kwasababu Ya Uchama
Huitaji kuwa na degree kutambua upumbavu wa wabunge wa CCM.. Hichi kisa kimetokea muda huu bungeni.
Baada ya Ester Matiko kutoa hoja, sasa Naibu Spika anahoji bunge..
Naibu Spika : Wanaohafiki hoja ya Ester Bulaya (alikosea jina) waseme NDIO..
Wabunge wa CCM: Ndioooooooooooo
Naibu Spika : Samahani sio Ester Bulaya, ngoja nihoji tena "Wanaohafiki hoja ya Ester Matiko wasime ndio"
Wabunge wa CCM : "kimya"
Naibu Spika : wasiohafiki hoja ya Ester Matiko wasime sio.
Wabunge wa CCM : Siooooooooo
Ina maana wao wanapiga kura kwa kusikiliza mijadala au kusikiliza majina?? Ina maana kama jina ni la mpinzani jibu ni sio hata kama hoja hiyo inafaa. Maana mwanzo walipohoji kwa jina la Ester Bulaya waliikubali hoja..
Hakuna kosa hapo CCM itabaki kutawala nchi hatuwezi kuwapa wapinzani elimu hawana.
Hakuna mwenye sera mnapiga kelele bungeni hata hamjui sababu yakuwepo bungeni wamepoteza muelekeo wabunge wengi waupinzani darasa la 7.
Unaongea nini wewe mleta mada CCM imeshinda 80percent kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bado sana kupewa nchi hamna uwezo wakuendesha nchi.