Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki watofautiana juu ya Vikao vya EALA kufanyika Arusha pekee!

Afadhali mkuu Jobo umekuja kwenye suala husika maana kua watu wanajua kuharibu thread mpaka ile maana nzima ya forum(Jukwa la majadiliano) inatoweka. Kimsingi nami najiuliza maswali yanayofana said:
EALA ni janga la Jumuiya na sijui ni wangapi wanajua matatizo yake. Nchi wanchama wakati wanakamilisha itifaki ya Soko la Pamoja waliamua kuwa masuala ya ardhi yafanywe kwa kutumia sheria za nchi husika. Kwa kuwa wenzetu hawakufurahishwa na kifungu hicho, basi wakatumia EALA kutunga sheria kadhaa kwa kutumia miswada binafsi yenye lengo la kufifisha uamuzi huo. Sheria ya Huduma ya Utalii ya Jumuiya na Sheria ya Maliasili za Mipakani zilitungwa kwa jinsi hiyo..hii ya mwisho iliwasilishwa na Mtanzania!!! Nadhani Rais alishauriwa asitie saini sheria hizo maana hazijaanza kutumika!! Wamekuwa pia wakipendekeza marekebisho makubwa kwenye Mkataba wa kuanzisha Jumuiya yenye malengo ya kutoa mamlaka mengi kwa Taasisi za Jumuiya katika mambo ambayo bado yako kwenye mijadala. Kwa kifupi ukifuatilia vikao vyao hivyo wanavyofanya utashangaa kuwa muda mrefu unatumika kutalii zaidi ya kushughulikia masuala ya utengamano. EALA haiwezi kufanya vikao sawa na mabunge ya nchi zetu kwa kuwa Jumuiya iko katika hatua za awali za utengamano ambao unashughulikiwa na sheria za ndani. Ukisoma itifaki ya soko la pamoja na itifaki ya Forodha mamlaka mengi yamewekwa kwa Taasisi za kila nchi, sasa EALA ina kazi zipi??? Hata kabla ya jengo la makao makuu ya jumuiya kuzinduliwa mwaka jana, EALA ilikuwa na ofisi zake katika jengo la AICC na ofisi na ukumbi wake ulikuwa unalipiwa kwa mwaka mzima. Uamzi wa kuzunguka ni kwa ajili ya tamaa za fedha na uzandiki tu!
 
Kutokana na wabunge wa rwanda kujitoa bungeni;

mkutano wa dharula uiitishwe tuwondoe rwanda kwenye eac
 
Mgogoro wa Kidpromasia kati ya TZ na Rwanda umefikia pabaya baada ya Wabunge wa Rwanda ktk EAC kususa ktk kikao cha EAC-Arusha et wakidai hawako tayar kuja Arusha ktk vkao vya EAC mpaka pale makao makuu ya EAC yatakapohamishwa kwenda nchi nyingine tofaut na TZ.
Inasemekana pia nchi hiyo imefanya mkutano wa siri na Uganda na Kenya kwa ajili ya kutafuta uwezekano wa kuitumia bandari ya Mombasa kupokelea na kusafirishia mizigo kupitia Uganda.
Juzi bungen-dom waziri mkuu mh. Pinda aliulizwa swali na kiongoz wa kambi ya upinzan kuhusu hatua ambazo TZ inazichukua kutatua mgogoro huo,Pinda alijibu kisiasa kwamba Mh. Rais alishalizungumzia na kuwa serikal itaunda kamat ya Usuruhishi.
Mgogoro huu ulianza mara baada ya Rwanda kushauriwa na TZ kuacha kulisaidia kundi la M23,mgogoro ulizd mara baada ya TZ kutekeleza mpango wa kuwarudisha makwao wakimbzi toka Somalia,Ethiopia,Rwanda,Uganda na DRC.
hatua hii inaonekana kuiboa sana Rwanda.
Maadui wa TZ wanaongezeka,Malawi,Zambia-TAZARA,
»»text broken»»
 
Kuingia kwa Rwanda ndani ya Jumuiya kunaonekana kuleta mpasuko mkubwa sasa.Vibweka,vituko changing goal posts naona ndo ishu kubwa na agenda kwa sasa.Makao makuu ya jumuiya yalikuwa Arusha miaka nenda rudi.Leo anakuja juniour(Rwanda) anataka kila kitu kibadilike.....Lol Banyamulenge kweli wakorofi!
 
Makao makuu yalikuwepo kabla ya Rwanda haijafikiria kujiunga na jumuiya.Walipo jiunga walijua fika kuwa makao makuu ni Arusha iweje leo waone ni ajabu makao makuu kuendelea kuwepo Arusha?na kwamba vikao kufanyika hapo imekuwa ajabu?.Rwanda wasitafute sababu za visingizio wawewazi wasijivunge mbona imeshajulikana kuwa Uganda,Kenya na Burundi wameshaitenga Tz ni kwenye Jumuiya ila Rwanda ndiyo msemaji wao mkuu.
 
Hata mimi nilipoona Rwanda kuingizwa ndani ya jumuia hii nilishapata tafsiri kua we will never go further! And this is what we are seeing now.

..kuna wa-Tz walikuwa wanaunga mkono Rwanda na Burundi kujiunga na EAC.

..hoja yao ilikuwa ni kwamba Tanzania "itaziambukiza" nchi hizo amani ikiwa tutaziruhusu kujiunga na EAC.
 
Makao makuu yalikuwepo kabla ya Rwanda haijafikiria kujiunga na jumuiya.Walipo jiunga walijua fika kuwa makao makuu ni Arusha iweje leo waone ni ajabu makao makuu kuendelea kuwepo Arusha?na kwamba vikao kufanyika hapo imekuwa ajabu?.Rwanda wasitafute sababu za visingizio wawewazi wasijivunge mbona imeshajulikana kuwa Uganda,Kenya na Burundi wameshaitenga Tz ni kwenye Jumuiya ila Rwanda ndiyo msemaji wao mkuu.
Burundi mtoe Burundi wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa like mchezo walede huwa anakuemo kichangia yeye hujoin side yoyote ila hana manufaa zaidi yakuwa ngao na kuusoma mchezo..ukitaza nyuso za hao mapacha watatu wakinafiki utaona wote washajishtukia kuwa ni masuspect wa mauaji wanahitajika kunako ICC mmoja tayari detected hawa system imewasaidia ila mbele wanauona mtego huo. wanajaribu kujifariji kwa kuunda urafiki wa mashaka..ningependa wawe wazi kuwa hawatuhitaji
 
..kuna wa-Tz walikuwa wanaunga mkono Rwanda na Burundi kujiunga na EAC.

..hoja yao ilikuwa ni kwamba Tanzania "itaziambukiza" nchi hizo amani ikiwa tutaziruhusu kujiunga na EAC.

Tanzania kuna amani? Siamin hii kauli yako, Tunaamanigan?
 
..kuna wa-Tz walikuwa wanaunga mkono Rwanda na Burundi kujiunga na EAC.
..hoja yao ilikuwa ni kwamba Tanzania "itaziambukiza" nchi hizo amani ikiwa tutaziruhusu kujiunga na EAC.

Mkuu samahan nimekuuliza swali lisilokuhusu. Niwengine walidhan tutawambukiza amani ambayo hata hivyo hatunayo na si kauli yako.
 
Mkuu samahan nimekuuliza swali lisilokuhusu. Niwengine walidhan tutawambukiza amani ambayo hata hivyo hatunayo na si kauli yako.
adolay,

..tukijilinganisha na societies kama Rwanda,Burundi,Congo,na Uganda, wa-Tanzania tuna amani.

..kwa zaidi ya miaka 50, Rwanda wameshindwa kuishi kwa amani na hivyo kupelekea wananchi wao kuwa wakimbizi.

..pamoja na kusema hayo, hapa Tanzania napo kuna mambo yanatokea ambayo tusipokuwa makini tunaweza kuwa kama nchi hizo nilizozitaja.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom