Wabunge sasa waamua kuvujisha siri

Wabunge sasa waamua kuvujisha siri

Shakari

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
211
Reaction score
629
Baba Askofu Mwamakula!

Wabunge waliitishwa kikao kupewa maelekezo ya kuwa wakati wa kuchangia Hotuba ya Rais, wasigusie kabisa mambo ya mauaji ya halaiki ya Watanzania wasio na hatia ya tarehe 29 - 31 Oktoba 2025.
Waliambiwa kuwa wachangie kwenye mambo ya kimaendeleo. Waseme mambo aliyoyafanya Samia na ahadi zake zilizotekelezwa! Wamsifie kwani wameambiwa kuwa hali bado haijatulia, hivyo kama watachangia kwa kuhoji mambo ya mauaji hiyo itaibua mjadala mkubwa sana!

Inasemekana kuwa Rais Samia mwenyewe na watu wake wa karibu walioyaratibu mauaji yale bado wanagopa sana kelele za Watanzania. Ni imani yangu kuwa kwa kupitia ukurasa wako watu wataelewa kinachoendelea Bungeni. Hili jambo linawasumbua sana baadhi ya Wabunge lakini wamefungwa mikono.
Hakuna ye yote ya mtu kutoa maoni huru au ya siri.

Kwa mfano, mfumo wao wa kura za ndiyo na hapana uliendelea kwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM. Kwa mtindo huo, wajumbe wote wanalazimika kusema ndiyo ili wasionekane ni waasi. Kwenda kinyume au kutoa mawazo na maoni mbadala ni hatari kubwa sana.

Hata wakati wa kumpata Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Kamati za Bunge, mchakato pia ulitawaliwa na maelekezo na takrima kubwa!

Iko hivi kwenye upatikanaji wa Spika walimteua Zungu na Naibu wake, kisha 'wakamshawishi' kila Mbunge ili kuwabariki. Baada ya kumaliza walihamia kwenye kuteua Wenyeviti wa Kamati za Bunge. Wabunge wanalia wanadai wananchi wajue ya kuwa hakuna Bunge tena, kwa kuwa limetekwa, wao wameporwa haki ya kuchagua viongozi wao wa Kamati kama vile wananchi walivyonyang'anywa haki yao ya kuchagua!
Kwa mfano, Mh. Jaffari Chege wa Rorya alitaka kugombea Uenyekiti wa Kamati, ila aliambiwa yeye atakuwa Makamu Mwenyekiti! Na hakuna watu waliojaza fomu wala kuomba kura.

Mhe. Devotha Minja amepewa Uenyekiti wa Kamati ya PAC bila kuwepo kwani yeye alikuwa India kwa matibabu tangu baada ya uchaguzi! Hii ya vitisho kutolewa kwa Wabunge ya kuwa Mbunge ye yote atakaechangia Hotuba ya Rais kinyume na matakwa yao, basi Mbunge huyo ajiandae kushughulikiwa! Hawataki kabisa hiyo tarehe 29 Oktoba ijadiliwe Bungeni ijapokuwa kuna kundi kubwa la Wabunge linatamani hoja hiyo ijadiliwe. Wabunge wanataka wananchi pia wajue kuwa hata hiyo katiba mpya kupatikana itakuwa ngumu.
J. L. S.,
Dodoma, 27 Januari 2026.
 
Baba Askofu Mwamakula!

Wabunge waliitishwa kikao kupewa maelekezo ya kuwa wakati wa kuchangia Hotuba ya Rais, wasigusie kabisa mambo ya mauaji ya halaiki ya Watanzania wasio na hatia ya tarehe 29 - 31 Oktoba 2025.
Waliambiwa kuwa wachangie kwenye mambo ya kimaendeleo. Waseme mambo aliyoyafanya Samia na ahadi zake zilizotekelezwa! Wamsifie kwani wameambiwa kuwa hali bado haijatulia, hivyo kama watachangia kwa kuhoji mambo ya mauaji hiyo itaibua mjadala mkubwa sana!

Inasemekana kuwa Rais Samia mwenyewe na watu wake wa karibu walioyaratibu mauaji yale bado wanagopa sana kelele za Watanzania. Ni imani yangu kuwa kwa kupitia ukurasa wako watu wataelewa kinachoendelea Bungeni. Hili jambo linawasumbua sana baadhi ya Wabunge lakini wamefungwa mikono.
Hakuna ye yote ya mtu kutoa maoni huru au ya siri.

Kwa mfano, mfumo wao wa kura za ndiyo na hapana uliendelea kwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM. Kwa mtindo huo, wajumbe wote wanalazimika kusema ndiyo ili wasionekane ni waasi. Kwenda kinyume au kutoa mawazo na maoni mbadala ni hatari kubwa sana.

Hata wakati wa kumpata Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Kamati za Bunge, mchakato pia ulitawaliwa na maelekezo na takrima kubwa!

Iko hivi kwenye upatikanaji wa Spika walimteua Zungu na Naibu wake, kisha 'wakamshawishi' kila Mbunge ili kuwabariki. Baada ya kumaliza walihamia kwenye kuteua Wenyeviti wa Kamati za Bunge. Wabunge wanalia wanadai wananchi wajue ya kuwa hakuna Bunge tena, kwa kuwa limetekwa, wao wameporwa haki ya kuchagua viongozi wao wa Kamati kama vile wananchi walivyonyang'anywa haki yao ya kuchagua!
Kwa mfano, Mh. Jaffari Chege wa Rorya alitaka kugombea Uenyekiti wa Kamati, ila aliambiwa yeye atakuwa Makamu Mwenyekiti! Na hakuna watu waliojaza fomu wala kuomba kura.

Mhe. Devotha Minja amepewa Uenyekiti wa Kamati ya PAC bila kuwepo kwani yeye alikuwa India kwa matibabu tangu baada ya uchaguzi! Hii ya vitisho kutolewa kwa Wabunge ya kuwa Mbunge ye yote atakaechangia Hotuba ya Rais kinyume na matakwa yao, basi Mbunge huyo ajiandae kushughulikiwa! Hawataki kabisa hiyo tarehe 29 Oktoba ijadiliwe Bungeni ijapokuwa kuna kundi kubwa la Wabunge linatamani hoja hiyo ijadiliwe. Wabunge wanataka wananchi pia wajue kuwa hata hiyo katiba mpya kupatikana itakuwa ngumu.
J. L. S.,
Dodoma, 27 Januari 2026.
Unataka kusema ''wabunge'' wetu wana ubongo wa nyumbu? Yaani simba mmoja anaweza kuwatisha nyumba 500, na wakakimbia huku wanaacha mwenzao anatafunwa?
 
Baba Askofu Mwamakula!

Wabunge waliitishwa kikao kupewa maelekezo ya kuwa wakati wa kuchangia Hotuba ya Rais, wasigusie kabisa mambo ya mauaji ya halaiki ya Watanzania wasio na hatia ya tarehe 29 - 31 Oktoba 2025.
Waliambiwa kuwa wachangie kwenye mambo ya kimaendeleo. Waseme mambo aliyoyafanya Samia na ahadi zake zilizotekelezwa! Wamsifie kwani wameambiwa kuwa hali bado haijatulia, hivyo kama watachangia kwa kuhoji mambo ya mauaji hiyo itaibua mjadala mkubwa sana!

Inasemekana kuwa Rais Samia mwenyewe na watu wake wa karibu walioyaratibu mauaji yale bado wanagopa sana kelele za Watanzania. Ni imani yangu kuwa kwa kupitia ukurasa wako watu wataelewa kinachoendelea Bungeni. Hili jambo linawasumbua sana baadhi ya Wabunge lakini wamefungwa mikono.
Hakuna ye yote ya mtu kutoa maoni huru au ya siri.

Kwa mfano, mfumo wao wa kura za ndiyo na hapana uliendelea kwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM. Kwa mtindo huo, wajumbe wote wanalazimika kusema ndiyo ili wasionekane ni waasi. Kwenda kinyume au kutoa mawazo na maoni mbadala ni hatari kubwa sana.

Hata wakati wa kumpata Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Kamati za Bunge, mchakato pia ulitawaliwa na maelekezo na takrima kubwa!

Iko hivi kwenye upatikanaji wa Spika walimteua Zungu na Naibu wake, kisha 'wakamshawishi' kila Mbunge ili kuwabariki. Baada ya kumaliza walihamia kwenye kuteua Wenyeviti wa Kamati za Bunge. Wabunge wanalia wanadai wananchi wajue ya kuwa hakuna Bunge tena, kwa kuwa limetekwa, wao wameporwa haki ya kuchagua viongozi wao wa Kamati kama vile wananchi walivyonyang'anywa haki yao ya kuchagua!
Kwa mfano, Mh. Jaffari Chege wa Rorya alitaka kugombea Uenyekiti wa Kamati, ila aliambiwa yeye atakuwa Makamu Mwenyekiti! Na hakuna watu waliojaza fomu wala kuomba kura.

Mhe. Devotha Minja amepewa Uenyekiti wa Kamati ya PAC bila kuwepo kwani yeye alikuwa India kwa matibabu tangu baada ya uchaguzi! Hii ya vitisho kutolewa kwa Wabunge ya kuwa Mbunge ye yote atakaechangia Hotuba ya Rais kinyume na matakwa yao, basi Mbunge huyo ajiandae kushughulikiwa! Hawataki kabisa hiyo tarehe 29 Oktoba ijadiliwe Bungeni ijapokuwa kuna kundi kubwa la Wabunge linatamani hoja hiyo ijadiliwe. Wabunge wanataka wananchi pia wajue kuwa hata hiyo katiba mpya kupatikana itakuwa ngumu.
J. L. S.,
Dodoma, 27 Januari 2026.
Chukua chako mapema ni walewale yanayotokea mo29 ndiyo yaleo,jana,juzi na tangumiaka 64 yaliyopita kimsingi wamekumbatia akili na mambo ya kikoloni kubwa ni kuhamia kwa akili za kizalendo nakuzikataa zile za kikoloni.
 
Bunge la kuteuliwa na Samia halitaki kuzungumzia, kujadili issue kubwa, muhimu kuliko zote wakati huu.

Lipo kwa ajili gani, hata kuzuga tu wanajali maisha ya Watanganyika hawawezi.
 
Ila wakae wakijua tu kwamba hali ya nchi sio SHWARI, yanahitajika MARIDHIANO ya UKWELI ,DHATI na ya UWAJIBIKAJI..nje ya hapo ni kujidanganya ,
 
Hao waongo na wanafiki.
Kama hawataki kinachoendelea au yaliyo tokea October 29, 2025 waachie majimbo wakatae kushirikiana na wauwaji.
Au waendelee kuwa wabunge lakini wahoji hayo Mambo bungeni na hadharani.
Hapo tutajua wapo pamoja na Watanganyika wenzao walio uwawa kama panya.
Vinginevyo ni waroho wa pesa na madaraka kama wanaowasimanga kwa huyo askofu.
 
Unamaanisha Bunge hili litakuwa Bunge la "Maelekezo"
 
Leo nimeangalia kidogo Bunge.Kuna mbunge wa zanzibar kama sikosei Jimbo la konde alikuwa anamsifia RAIS MWANZO mwisho.Anadai hajawahi kuona RAIS anayefanya KAZI nzuri kama Samia toka tupate uhuru.kanifanya nikazima TV kabisa.
 
Baba Askofu Mwamakula!

Wabunge waliitishwa kikao kupewa maelekezo ya kuwa wakati wa kuchangia Hotuba ya Rais, wasigusie kabisa mambo ya mauaji ya halaiki ya Watanzania wasio na hatia ya tarehe 29 - 31 Oktoba 2025.
Waliambiwa kuwa wachangie kwenye mambo ya kimaendeleo. Waseme mambo aliyoyafanya Samia na ahadi zake zilizotekelezwa! Wamsifie kwani wameambiwa kuwa hali bado haijatulia, hivyo kama watachangia kwa kuhoji mambo ya mauaji hiyo itaibua mjadala mkubwa sana!

Inasemekana kuwa Rais Samia mwenyewe na watu wake wa karibu walioyaratibu mauaji yale bado wanagopa sana kelele za Watanzania. Ni imani yangu kuwa kwa kupitia ukurasa wako watu wataelewa kinachoendelea Bungeni. Hili jambo linawasumbua sana baadhi ya Wabunge lakini wamefungwa mikono.
Hakuna ye yote ya mtu kutoa maoni huru au ya siri.

Kwa mfano, mfumo wao wa kura za ndiyo na hapana uliendelea kwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM. Kwa mtindo huo, wajumbe wote wanalazimika kusema ndiyo ili wasionekane ni waasi. Kwenda kinyume au kutoa mawazo na maoni mbadala ni hatari kubwa sana.

Hata wakati wa kumpata Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Kamati za Bunge, mchakato pia ulitawaliwa na maelekezo na takrima kubwa!

Iko hivi kwenye upatikanaji wa Spika walimteua Zungu na Naibu wake, kisha 'wakamshawishi' kila Mbunge ili kuwabariki. Baada ya kumaliza walihamia kwenye kuteua Wenyeviti wa Kamati za Bunge. Wabunge wanalia wanadai wananchi wajue ya kuwa hakuna Bunge tena, kwa kuwa limetekwa, wao wameporwa haki ya kuchagua viongozi wao wa Kamati kama vile wananchi walivyonyang'anywa haki yao ya kuchagua!
Kwa mfano, Mh. Jaffari Chege wa Rorya alitaka kugombea Uenyekiti wa Kamati, ila aliambiwa yeye atakuwa Makamu Mwenyekiti! Na hakuna watu waliojaza fomu wala kuomba kura.

Mhe. Devotha Minja amepewa Uenyekiti wa Kamati ya PAC bila kuwepo kwani yeye alikuwa India kwa matibabu tangu baada ya uchaguzi! Hii ya vitisho kutolewa kwa Wabunge ya kuwa Mbunge ye yote atakaechangia Hotuba ya Rais kinyume na matakwa yao, basi Mbunge huyo ajiandae kushughulikiwa! Hawataki kabisa hiyo tarehe 29 Oktoba ijadiliwe Bungeni ijapokuwa kuna kundi kubwa la Wabunge linatamani hoja hiyo ijadiliwe. Wabunge wanataka wananchi pia wajue kuwa hata hiyo katiba mpya kupatikana itakuwa ngumu.
J. L. S.,
Dodoma, 27 Januari 2026.
Ikiachana Hilo Bunge hili ni matusi kwa wananchi wa Tz Kwani halikuchaguliwa kihalali , hivyo halikiwawakilishi watanzania, wakulima, wafanyakazi, Askari wetu, Mahakama zetu, wanafunzi wetu, madktari wetu, waalimu na ni upotevu wa hela za Elimu, Afya, na uzalishaji
 
Unataka kusema ''wabunge'' wetu wana ubongo wa nyumbu? Yaani simba mmoja anaweza kuwatisha nyumba 500, na wakakimbia huku wanaacha mwenzao anatafunwa?
Sasa ikitokea Nyumbu wakawa na akili na umoja....Simba si watakufa na njaa..
Simba pia wanahitaji chakula
 
Back
Top Bottom