natamani enzi za hamad rashid.mbowe kung'aa kazidiwa na mrema?!!
2015/2020 watafika Quinine?Hao ndugu zako wasahau waambie wasubiri next time may be 2015 or 2020 vyama vyao vitakapokuwa kambi rasmi ya upinzani.
Sugu namshauri ile bendi yake ya matusi aliyoizindua pale kwenye ukumbi wa musizi wa mheshimiwa Mbowe baada ya kupewa ridhaa na wanambeya auendeleze kama anadhani utalijenga taifa ambalo lina dimbwi la mafisadi. sisi kule kwetu tunasema "Umufa wi mbwebwe unyobwa wugishushe" hii sentensi Zitto huifanyia kazi mara nyingi ndio maana hatoisha kung'aa bungeni.
Mkuu MwanaFA1;
Za siku Mkuu?
Good to read from you again. Nice post.
Wako akina Lisu pia. Tutajua kadiri siku zinavyokwenda hasa Bunge lijalo la bajeti.
Respect.
Nipo mkuu wewe ndiyo ume potea.
Naona wengi wame kasirishwa na Lissu kuto kuwepo kwenye list ila haya yalikua maoni na kama unavyo jua opinion siyo fact. Nilikua naleta mtazamo tofauti tu ila Lissu nae ana jitahidi sana tu.[/B]
Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza.
Baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa wame jitokeza kama nyota wa Bunge ila kwa maoni yangu mpaka sasa ni hawa wawili.
Freeman Mbowe:
Kama kiongozi wa upinzani nilitegemea amake headlines zaidi ila so far kama mkinya kuliko nilivyo tarajia. Ina wezekana ni mbinu yake ila kadri siku zinavyo enda nategemea sauti yake ita sikika zaidi.
Zitto Kabwe:
Mpende mchukie huyu bwana anajua kupanga hoja na una ona uwepo wake bungeni iwe positive au negative. Pia ameonyesha uelewa mzuri wa kanuni za Bunge (zaidi ya hata speaker) pale alipo mtetea mbunge mwenzio wa Chadema wiki iliyo pita.
Halima Mdee:
Mdada anae onyesha kwamba wanawake wanaweza bila upendeleo maalumu. Ana pangilia hoja vizuri na ana pick her fights vizuri.
January Makamba:
Najua wengi humu ndani wanaweza wasikualiane nae au hata kumpenda. Ila siyo siri ni mmoja wa vijana wanao sikika bungeni na ana jitahidi kadri iwezekanavyo uwepo wake Bungeni uonekane.
Wale niliyo tegemea impact kubwa zaidi toka kwa Bungeni lakini mpaka sasa wame kuwa kimya:
John Mnyika:
Huyu jamaa siyo siri ana hulka ya kupendwa ila inaelekea approach yake ni ya ukimya zaidi yaani yeye ni mtu wa behind za scenes zaidi. Nili tegemea makeke zaidi toka kwake kwenye vikao vya bunge.
Regia Mtemi:
Huyu ni mwanaJF mwenzetu wa muda mrefu. Ali pambana sana mpaka kuja kuishia kupewa ubunge wa viti maalumu. Ila tokea apate ubunge naona kuna makosa ya kisiasa ana fanya ambayo yata kuja kumcost baadae na hata kupunguza nafasi yake ya kurudi Bungeni.
Mpaka hapo hujamtaja Tundu Lisu nina wasiwasi kama huwa unaangalia bunge la tz au la somalia! Huyu makamba naye sijui umemtoa wapi! Yeye ana maslahi yake flani asikudanganye, ametumwa huyoooo!
Ameona hafagiliwi hapa janvini akaamua kujifagilia mwenyewe, hongera
Ninapata mashaka kwa tathmini yako iliyokupa jumuisho hilo, mashaka ya kwanza ni kama kweli unafuatilia bunge la 2010-2015, unaposema mh Mnyika amekuwa kimya unamaanisha nn, je ulifuatilia wakati wa uchangiaji wa mambo ya famasia!? nadhani ulitaka kumrusha makamba tu
Hapa tuangalie wabunge wanaopewa dk10 kutoa hoja na wanazitumia dk8 kumshukuru jk, hawa wanajumuisha na j.makamba, simbachamwene, chilolo, manyanya na kina bulaya.
Hawa huwezi kuwalinganisha na kina sanya, sakaya na owenya
Nadhani una changanya mambo mkuu. Mnyika hakuwepo Bungeni 2010-2015.