Wabunge na Waziri wanamnadi Mtulia

Mbona hawampeleki mwenyekiti na katibu mkuu? Tuna hamu ya kuwasikiliza
 
mfano akipita mbunge wa upinzani, ina maana Ndugulile hatatoa ushirikiano? kumbe kuwabomolea nyumba zao mnajua mlifanya kosa, inawauma sasa serikali nzima kujaa kino, tunaomba tu mfanye fair na msitumie ubavu na risasi, Kino nyie ndio waamuzi,
 
Vizuri sana kukubali kuitwa lofa, tena kilaza mkubwa unayejidai una hela kumbe fukara tu, kazi kupewa bando na Mashinji ili uje kuzungusha mikono huku.
Niite utakavyo but siombi pesa wala bando kwa polepole wala bashite! Halafu wewe, hebu jaribu kutafuta wa size yako eeh! Naona unaleta mazoea ya kipumbavu hapa!
 
Nguvu kubwa sana....
CHADEMA na CUF watagawa kura za wananchi....Hiki kitu kilitokea Jimbo la Segerea 2015...
Ilibidi wasimamishe CUF tu pale...Hivi nyie Upinzani huwa mnaakili kweli??Mbowe atakua agent wa CCM si bure
 
Mnashangaa mawaziri? Mwaka 1996 Rais Mkapa alimnadi Abdul Cisco Mtiro kwenye uchaguzi mdogo Temeke dhidi ya Augustine Mrema wakati huo akiwa NCCR Mageuzi. Kama mnamkumbuka Sheikh Ali Mtopea aliyekuwa mpiga debe mkuu wa Mrema, huyu Sheikh alikuwa anasikilizwa kuliko Mkapa. Watu wa Temeke wakamtosa Cisco mbele ya Mkapa na vyombo vyake vyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…