Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,361
- 25,474
Njaa zinawasumbua viongozi wa ufipa, kila kukicha ni kujiuza tu tena kwa bei ya reja reja.Njaa inakusumbua elfu 7 mnazolipwa na Lumumba ...zinakutesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa zinawasumbua viongozi wa ufipa, kila kukicha ni kujiuza tu tena kwa bei ya reja reja.Njaa inakusumbua elfu 7 mnazolipwa na Lumumba ...zinakutesa
Huna lolote wewe mzungusha mikono. Nenda kampe hiyo m1 Mashinji imsaidie kwenye kumnadi Salum Mwalimu hapa Kinondoni.
mfano akipita mbunge wa upinzani, ina maana Ndugulile hatatoa ushirikiano? kumbe kuwabomolea nyumba zao mnajua mlifanya kosa, inawauma sasa serikali nzima kujaa kino, tunaomba tu mfanye fair na msitumie ubavu na risasi, Kino nyie ndio waamuzi,Wabunge na mawaziri kutoka CCM wamejitokeza katika mkutano wa hadhara wa kampeni kumnadi mgombea ubunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia.
Waliohudhuria mkutano huo uliofanyika leo Februari 11,2018 katika mtaa wa Idrisa, Magomeni ni Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson; Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako; na Naibu Waziri wa Afya, Dk Faustine Ndugulile.
Wabunge waliohudhuria ni Hussein Bashe wa Nzega Mjini, Azzan Zungu (Ilala), Livingstone Lusinde 'Kibajaji’ (Mtera), Halima Bulembo (Viti Maalumu) na Oliver Semuguruka (Viti Maalumu).
Wengine ni Sixtus Mapumba (Mbinga Mjini), Steven Ngonyani 'Profesa Majimarefu' (Korogwe), Joseph Musukuma (Geita Vijijini) na Rita Kabati (Viti Maalumu).
Kabla ya viongozi hao kupanda jukwaani, burudani ilitolewa na vikundi vya ushereheshaji huku waliohudhuria mkutano huo wakisimama kucheza na kuwatuza waliokuwa wakiburudisha.
Halima amesema mwanzoni Mtulia alikuwa mbunge wa upinzani na katika baraza la madiwani hakuweza kushauriana na meya lakini sasa yuko CCM hivyo kuwaomba wananchi wamchague.
Mapunda amesema wananchi wa Kinondoni hawakuwa na tatizo na mchezaji bali timu anayochezea.
“Mchezaji mzuri akitoa pasi inaharibika na ndiyo maana Mtulia ni mchezaji mzuri na sasa amekuja timu bora ya CCM mleteni tumalize mchezo mapema,” amesema.
Mbunge Zungu amesema wabunge wa CCM hawana ujanja bali ni ilani ambayo imejenga kuwajali wananchi.
Dk Ndugulile ambaye pia ni mbunge wa Kigamboni amesema, “Mtulia nitampa ushirikiano katika kutatua matatizo ya afya, wazee na maendeleo ya jamii yatapatiwa ufumbuzi kwa kumchagua Mtulia.”
Mwisho.
anawaona wana kindondoni ni fafafa kama yeyeNakubali ila Makonda katufungulia mlango wa petition. Intimidation of voters. Ati mkiichagua chama dola, hamtavunjiwa tena vibanda vyenu.
Niite utakavyo but siombi pesa wala bando kwa polepole wala bashite! Halafu wewe, hebu jaribu kutafuta wa size yako eeh! Naona unaleta mazoea ya kipumbavu hapa!Vizuri sana kukubali kuitwa lofa, tena kilaza mkubwa unayejidai una hela kumbe fukara tu, kazi kupewa bando na Mashinji ili uje kuzungusha mikono huku.
Kushuhudia kifo cha Mtulia ambaye mazishi yake yatafanyika tarehe 17.View attachment 694077 Hawa waliitwa kufanyanje?
Acha kuzungumza mambo ya kipuuzi.Niite utakavyo but siombi pesa wala bando kwa polepole wala bashite! Halafu wewe, hebu jaribu kutafuta wa size yako eeh! Naona unaleta mazoea ya kipumbavu hapa!
Lazima utakua unajua kuzungusha makalio. Sijui yanazungushwaje.Sawa tumekusikia wewe mzungusha makalio
Mnashangaa mawaziri? Mwaka 1996 Rais Mkapa alimnadi Abdul Cisco Mtiro kwenye uchaguzi mdogo Temeke dhidi ya Augustine Mrema wakati huo akiwa NCCR Mageuzi. Kama mnamkumbuka Sheikh Ali Mtopea aliyekuwa mpiga debe mkuu wa Mrema, huyu Sheikh alikuwa anasikilizwa kuliko Mkapa. Watu wa Temeke wakamtosa Cisco mbele ya Mkapa na vyombo vyake vyote.Wabunge na mawaziri kutoka CCM wamejitokeza katika mkutano wa hadhara wa kampeni kumnadi mgombea ubunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia.
Waliohudhuria mkutano huo uliofanyika leo Februari 11,2018 katika mtaa wa Idrisa, Magomeni ni Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson; Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako; na Naibu Waziri wa Afya, Dk Faustine Ndugulile.
Wabunge waliohudhuria ni Hussein Bashe wa Nzega Mjini, Azzan Zungu (Ilala), Livingstone Lusinde 'Kibajaji’ (Mtera), Halima Bulembo (Viti Maalumu) na Oliver Semuguruka (Viti Maalumu).
Wengine ni Sixtus Mapumba (Mbinga Mjini), Steven Ngonyani 'Profesa Majimarefu' (Korogwe), Joseph Musukuma (Geita Vijijini) na Rita Kabati (Viti Maalumu).
Kabla ya viongozi hao kupanda jukwaani, burudani ilitolewa na vikundi vya ushereheshaji huku waliohudhuria mkutano huo wakisimama kucheza na kuwatuza waliokuwa wakiburudisha.
Halima amesema mwanzoni Mtulia alikuwa mbunge wa upinzani na katika baraza la madiwani hakuweza kushauriana na meya lakini sasa yuko CCM hivyo kuwaomba wananchi wamchague.
Mapunda amesema wananchi wa Kinondoni hawakuwa na tatizo na mchezaji bali timu anayochezea.
“Mchezaji mzuri akitoa pasi inaharibika na ndiyo maana Mtulia ni mchezaji mzuri na sasa amekuja timu bora ya CCM mleteni tumalize mchezo mapema,” amesema.
Mbunge Zungu amesema wabunge wa CCM hawana ujanja bali ni ilani ambayo imejenga kuwajali wananchi.
Dk Ndugulile ambaye pia ni mbunge wa Kigamboni amesema, “Mtulia nitampa ushirikiano katika kutatua matatizo ya afya, wazee na maendeleo ya jamii yatapatiwa ufumbuzi kwa kumchagua Mtulia.”
Mwisho.
CHEMA CHAJIUZA KIBAYA CHAJITEMBEZA.