Sio uongozi wa siasa tu..uongozi wowote ule ulio bora msingi wake ni hekima, lakini ili uongozi huo uendelee kusimama na kutetea haki na usawa kwa unaowatawala, pamoja na hekima lazima pia uwe na uwezo wa kupamba na kupambanua mambo, kujenga na kutengua hoja,kuwa na fikra huru na za kina.....ambavyo hivi vyote vinajengwa na elimu! Ifike mahali serikali iogope kupeleka miswaada na budget za kihuni bungeni, kwasababu tu inaelewa aina ya watu ambao wanaenda kuifanyia maamuzi hiyo miswaada!
But again mind you those Phd holders may use the same loophole of MPs being illiterate to still as they are not able to think outside the box due to lack of critical thinking ability. Look at most CCM MPs.I really doubt if that is a solution. Let's think of the number of PhDs and Professors that we have had in that house and what they have done so far.....! Mind you, we also have an economist and a PhD holder in the 'first office'!
Salaam JF,
Ni hili swala la wabunge wa Jamhuri kuwa na elimu ya at least shahada ya kwanza (undergraduate degree)...juzi MH. John Mnyika alipokuwa anahutubia bunge kwenya mjadala wa bajeti kuu ya serikali alisema "tumefika hapa tulipo(kwenye umaskini wa kutupwa na hali ngumu ya maisha ambayo haijawai kutokea) kwasababu ya udhaifu wa raisi kikwete, uzembe wa bunge na upuuzi wa ccm"...kwenye hili swala la uzembe wa wabunge, naona kuna hoja mbadala zaidi ya uzembe, kuna wabunge wengi tu bungeni wanafanya/support maamuzi bila kujua athari zake kesho na kesho kutwa kwao( watakapotoka hapo mjengoni) na kwa jamii nzima kutokana na ukosefu wa elimu (ukomavu wa fikra), Majirani zetu hapo kenya wameshapitisha hili...kuanzia mwaka kesho hakuna mbunge ataruhusiwa kugombea bila kuwa na at least shahada ya kwanza, tusijipe moyo kwamba...mbona TZ wasomi ndio wanongoza kwa uwizi, ni wanaiba kwasababu wanajua bunge limejaa watu ambao hawajakomaa kiakili, ambao watapitisha hoja yeyote bila kujali uhalisia wake! Elimu kwa watu wanaotuongoza ni muhimu sana....."The function of education is to teach one to think intensively and to think critically. Intelligence plus character - that is the goal of true education." -Martin Luther kng Jr, Naamini hata sisi hatutakuwa tumewahi sana tukilijumuisha hili katika marekebisho ya katiba yanayoendelea.
Nawaisilisha.
I'm not pointing fingers at who did what and didnt do what....i just believe its great idea to have the house of parliament filled by intellectuals than the opposite! To have citizen's representatives who can reason and decide freely for the best of the community....to have representatives who will value their "YES" votes!Oh yeah, ULIONA BAJETI PINZANI YA ZITTO KABWE ilivyokuwa na kasoro? Alisahau Kitu Muhimu kabisa Wapi pa
Kupata Income ? to relieve the GVT expenditure... wote wakaiona ni bogus... Hakuna anayeiongelea imetupwa
Jalalani; CUF wanataka Waweke yao... Yeye ni Msomi na Mwenye Degree kali ya UCHUMI...
I really doubt if that is a solution. Let's think of the number of PhDs and Professors that we have had in that house and what they have done so far.....! Mind you, we also have an economist and a PhD holder in the 'first office'!
I really doubt if that is a solution. Let's think of the number of PhDs and Professors that we have had in that house and what they have done so far.....! Mind you, we also have an economist and a PhD holder in the 'first office'!