wabunge wanapewa muda waka jiandae ukizingatia ripoti ya muhongo hawaja pewa sasa mtu aanze kuchangia tu bila kupitia hoja zote mbili?[/QUOTE
Wabunge juzi walipewa ripoti ya PAC kabla Zitto hajaanza kuongea kulikua na sababu gani ya kusubiri mpaka Muongo amalize kuongea ndo wabunge wapewe ripoti yote hii kupoteza muda bila sababu za msingi