Wabunge muondoeni spika

Huyu spika hafai na analiburuza bunge ili kuibeba serikali.

Ni kwanini ameahirisha bunge wakati muda bado upo mara baada ya Muhongo kuongea?

Huyu mama ana agenda ya siri.
Anazo akili nyingi mno, walaakin kukosa busara kwake na Ujinga wa kudhani ati ukieka usawa/gender ndo mafanikio na matarajio ya wananchi.

Muda wao ulikuwa bado kwa nchi kama hini kupawa majukumu makubwa mfano wa hayo alonayo hoyo Mbibi.
 
 
hatariiiiii ndiyo maana aliitwa aje kunusuru serikali kuvunjwa mbona ishafahamika kua Ndugai hatoongoza hadi suala hili liishe. Loading......
 
hatariiiiii ndiyo maana aliitwa aje kunusuru serikali kuvunjwa mbona ishafahamika kua Ndugai hatoongoza hadi suala hili liishe. Loading......

Huyu mama ni mama jina tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…