Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu


Nafikiri wewe una hangover ya viroba!
 
Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Simple minds...
 
Ahhhhh we wanas8asa hizi ni fursa unadhani kwa ajili yako. Ahhhhh kweli k7chaa mpe mkate atavua mpka nguo kukuonesha pichu yake iliyotoboka
 
yaani wabunge wa ccm wampigie kula mwenyekiti wa chama kuwa hawana imani naye siyo au sijakuelewa. unaweza kunipa mifano ya wabunge watatu wa ccm wenye uwezo . huo mh rais anaagiza tufanye kazi tuache umbea

Kama vile alivyovalia njuga ishu ya vyeti na sasa anasema siyo ishu tena kwa taifa.
 
Wabunge wa huu upande hawana utumbo wa kufanya hayaaaa weweee wana njaaa sanaaa wamezoea ndioooooo,tena vile walishapewa onyoo hahahahaaaa hutokaa uone hili likitokea mileleeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…