ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,469
Wandugu,
Naomba ufafanuzi wa jambo hili, je wabunge wa JMT hawana kinga ki sheria inapotokea kutoelewana na vyombo vya serikali na dola wakati wa kutimiza majukumu yao? yametokea juzi tu mbunge anapigwa na police tena hawa wadogo wadogo wakati akiwa yupo kazini kuwakilisha wananchi wake waliomchagua.
kwa hali hii naamini mbunge anaweza kupigwa na kuumizwa vibaya na hata kupoteza maisha, je sheria zetu zinasemaje?
Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kutoa amri mbunge akamatwe, apigwe na kuswekwa ndani.
Mkuu wa police wa Mkoa au wilaya pia anaweza kuamrisha mbunge akamatwe, kupigwa na kuswekwa ndani. mbunge ana kinga ipi kisheria?
Wachambuzi wa sheria naomba ufafanuzi hili la juzi limeniuma sana, kumdhalilisha mbunge namna hiyo ni sawa na kuwadhalilisha wananchi wote waliomchagua, aibu kwa nchi yetu.
Naomba ufafanuzi wa jambo hili, je wabunge wa JMT hawana kinga ki sheria inapotokea kutoelewana na vyombo vya serikali na dola wakati wa kutimiza majukumu yao? yametokea juzi tu mbunge anapigwa na police tena hawa wadogo wadogo wakati akiwa yupo kazini kuwakilisha wananchi wake waliomchagua.
kwa hali hii naamini mbunge anaweza kupigwa na kuumizwa vibaya na hata kupoteza maisha, je sheria zetu zinasemaje?
Mkuu wa mkoa ana uwezo wa kutoa amri mbunge akamatwe, apigwe na kuswekwa ndani.
Mkuu wa police wa Mkoa au wilaya pia anaweza kuamrisha mbunge akamatwe, kupigwa na kuswekwa ndani. mbunge ana kinga ipi kisheria?
Wachambuzi wa sheria naomba ufafanuzi hili la juzi limeniuma sana, kumdhalilisha mbunge namna hiyo ni sawa na kuwadhalilisha wananchi wote waliomchagua, aibu kwa nchi yetu.