Mkuu nimekupata na umesema ukweli ingawa kuna wabunge wachache wa viti maalum wamejaribu. kuna MHS Mbunge kutoka Mkoa wa Kagera anajitahidi na anapambana. Ingawa anatakiwa kuongeza kasi lkn siyo mzigo!
Hapa ninapenda kusema hivi: CDM inahitaji wabunge ambao ni results oriented nikiwa na maana kuwa Mbunge mmoja wa CDM inabidi awe bora mala dufu ya mbunge wa CCM ili kubalance equation! CDM ina wabunge wachache ukilinganisha na CCM, hivyo kutoka na uchache wake ni lazima mbunge mmoja wa CDM afanye kazi zaidi sana na cha muhimu ni matokeo ndo hapo chama kinaweza kuiga hatua kwa kasi. Ninajua wakati mwingine ni vigumu kupata watu wa namna hii ila tafdhari kwa wale ambao wameonyesha uzembe au hawana uwezo itabidi CDM ikae nao na bila aibu kuwambia sasa basi itabidi wapumzike. Wataendelea kuwa active ktk shughuli zingine. Hii ni muhimu sana kabisa. Sasa Prof Kahigi, amekuwa anafanya nini? Yeye ni Prof wa nini? Tunataka Mbunge wa kuhamasisha vijana na akubaliwe. Mfano ni huyu Mdee, she is one to be an axample. She is not there to show how cute is ila ni kupambana. CDM inataka wabunge ambao wata invest for the future!