PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Selasini,mbuge wa karatu,wenje kaka mbona kimya ghafla?na wangingine ambao sijawataja hapa.
Wake wa viongozi wetu jamani mbona kama hampoo?tunategemea nyie kwa kushirikiana na bawacha muwaunganishe wanawake tanzania kwaajili ya ukombozi kamili 2015 lakini mpaka sasa hamjaamka tu?
Wake wa viongozi wetu jamani mbona kama hampoo?tunategemea nyie kwa kushirikiana na bawacha muwaunganishe wanawake tanzania kwaajili ya ukombozi kamili 2015 lakini mpaka sasa hamjaamka tu?