Wabunge (CHADEMA): Chama kwanza utaifa baadae

Wabunge (CHADEMA): Chama kwanza utaifa baadae

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Wana-JF;

Suala la wabunge wa CHADEMA kuendekeza chama chao kuliko utaifa (bungeni) kwa sasa limedhihiri.

Wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakikosa vipindi vingi vya bunge, tena kwa ujumla wao, huku wakizijua athari zitokanazo na mahudhurio mabovu.

Wamekuwa wakifanya 'chokochoko' makusudi kabisa, ili wamlazimishe spika kutumia kanuni awatoe, ili waende majukwaani na kukitumikia chama chao.

Tukio la Arusha nalo limefanywa kisiasa, kwani wabunge wote wa CHADEMA wamepanga kutohudhuria bungeni, ili wapate fursa za kukaa majukwaani na kukitumikia chama.

Wito wangu kwa CHADEMA, ifike wakati sasa taifa mlipe kipaumbele kuliko chama chenu, bunge la bajeti ni bora zaidi kuliko mnayo angaika nayo huko Arusha.
 
Huna jipya mtoa mada! Mara ngapi tumesikia Rais yupo Dodoma na kuitisha mkutano na wabunge wa CCM wakati bunge likiendelea? Hii si kutumikia chama cha mapinduzi? Kama ingekuwa kutumikia taifa Rais angeitisha mkutano wa wabunge wote wa Bunge la Jamhuri na si wale wa CCM tu! Acha propaganda isiyoeleweka.
 
Mbunge wa Cadema mmoja sawa na wabunge wa magamba 50, mbunge wa Chadema akihudhuria kikao kimoja mchango wake ni sawa na michango 50 ya wabunge wa magamba
Sisi wananchi msidhani tumekufa au tumelala usingizi, pumba tunaziona hapo Bungeni hatuna haja kuwa na wabunge wenye kuhudhuria kipindi chote cha Bunge na hawana cha zaidi ni kufikiria posho , kuchapa usingizi , kushangilia kwa kila jambo kama hayawani na kufikiria ufisadi. Jamani kwa nini ukweli usisemwe kuwa CCM tumewachoka ?
 
Kwani lilipoporomoka jengo kule dsm na kuua watu mbona pia walikusanyika na kwenda kutoa pole na msaada kwa wafiwa? au umesahau kuwa Pro. baregu alipotaka kujitoa kwenye tume ya mabadiliko ya katiba kwa kuweka maslahi ya chama mbele walimzuia na kumtaka aangalie kwanza maslahi ya taifa? Au hujui hata dr slaa pamoja na kuwa yupo ughaibuni analazimisha kuja kuungana na wafiwa lakini wanamzuia kwa ajili ya ustawi wa taifa?
 
Katika watu wanaotoa mada za kijinga humu unaongoza!
Huwa una fikra hafifu sana!

Labda ndo job description yako pale Lumumba! Ama ndio uwezo wako ulipoishia!
 
hivi katika maombolezo na mazishi ya kiongozi wa cdm Arusha jana kuna chama chochote au taasisi iliyotuma mwakilishi!?
Watu wengine mmeamua kuwa makatili na unadhani wasipoenda kumzika kiongozi wao waliomuua wataweza kufanya kazi hiyo?
 
Cdm hamstahili kuongoza coz mtaendeleza chama kwanza then wat tupate shida. Kweli nyi ni misukule ya Mbowe,
 
Linawezekana,KAMA BAJETI KUU INAJADILIWA NA WAO HAWAPO BUNGENI,wanamaanisha nini?
kama ni maziko ya watanzania wangemtuma mwakilishi,ndo mana kunakuwa na matawi ya chama kila mkoa,wilaya hadi kijiji na wengine wawepo kwenye mjadala wa bajeti kuu
Alafu bajeti akipita watasem ni ya ccm,wakati hawakuwepo kutoa changamoto,
sasa wanaomba uongoz wa nini.?me nawapongeza baadhi wa chadema kama mnyika,zito wanafam walichotumwa na wananchi
 
Katika watu wanaotoa mada za kijinga humu unaongoza!
Huwa una fikra hafifu sana!

Labda ndo job description yako pale Lumumba! Ama ndio uwezo wako ulipoishia!


Jadili mada achana na mimi, kama haijakukuna basi waweza kupita tu.
 
Huna lolote wewe unabwata tu hata hujui nchi inakwenda wapi.
Mbunge wa Cadema mmoja sawa na wabunge wa magamba 50, mbunge wa Chadema akihudhuria kikao kimoja mchango wake ni sawa na michango 50 ya wabunge wa magamba
Sisi wananchi msidhani tumekufa au tumelala usingizi, pumba tunaziona hapo Bungeni hatuna haja kuwa na wabunge wenye kuhudhuria kipindi chote cha Bunge na hawana cha zaidi ni kufikiria posho , kuchapa usingizi , kushangilia kwa kila jambo kama hayawani na kufikiria ufisadi. Jamani kwa nini ukweli usisemwe kuwa CCM tumewachoka ?

Umedhihirisha chama mbele,Tanzania badaye...
wangetakiwa kuweka pembeni izo pumba,na si kutokuwepo kwenye mjadala...
 
Huna jipya mtoa mada! Mara ngapi tumesikia Rais yupo Dodoma na kuitisha mkutano na wabunge wa CCM wakati bunge likiendelea? Hii si kutumikia chama cha mapinduzi? Kama ingekuwa kutumikia taifa Rais angeitisha mkutano wa wabunge wote wa Bunge la Jamhuri na si wale wa CCM tu! Acha propaganda isiyoeleweka.

Napinga vikali. Tena usiludie hiyo comparison. Kwa hiyo wabunge hamsini wa Ccm wakitoa hoja za ajabu mmoja wa CHADEMA atakuwa katoa upuuzi 50x?! Hapana bwana CHADEMA hawakompeeki hata kwa nusu mmbunge wa ccm. Hao nimakapi tupu ndo maana jangiri moja la dai sasa bunge ni tulivu. No challenges at all. I put on table!
 
Wana-JF;

Suala la wabunge wa CHADEMA kuendekeza chama chao kuliko utaifa (bungeni) kwa sasa limedhihiri.

Wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakikosa vipindi vingi vya bunge, tena kwa ujumla wao, huku wakizijua athari zitokanazo na mahudhurio mabovu.

Wamekuwa wakifanya 'chokochoko' makusudi kabisa, ili wamlazimishe spika kutumia kanuni awatoe, ili waende majukwaani na kukitumikia chama chao.

Tukio la Arusha nalo limefanywa kisiasa, kwani wabunge wote wa CHADEMA wamepanga kutohudhuria bungeni, ili wapate fursa za kukaa majukwaani na kukitumikia chama.

Wito wangu kwa CHADEMA, ifike wakati sasa taifa mlipe kipaumbele kuliko chama chenu, bunge la bajeti ni bora zaidi kuliko mnayo angaika nayo huko Arusha.

Funny Video - YouTube
 
Nyie Waliberali si mmesema sasa mnapumua bungeni na vurugu zimeisha...

Kwenu nyie kuulizwa kuhusu wizi na ufisadi mnaofanya ni vurugu. Sasa mmeachiwa bunge mnalialia, hamna wema, sijui mnataka CHADEMA iwashike masaburi ndio mridhike

BAVICHA mna mipasho, haya ndio mnayajua vizur (masaburi)?
 
Mmewalipua na boom alafu mnaona nii jambo dogo sana.. Acha umbulula..kama mnaweza wafuteni ubunge
 
Nilijua tu kuwa jf mwenye pumba ni Hamy d, nilipoona title tu nikajua mpuuz huyu atakuwa yeye. Hanaga logic ktk thread zake tena anaanzisha mpaka thread 7 kwa siku halafu zote ni pumba na matusi. Endelea kusafiria mbeleko ya mods ila ipo cku nao watakuchoka watakuban. Unatukanaga sana matus kwa Mbowe na Slaa ila unaachiwa. Kwa akil yko fnyu unadhan taifa linajengwa bungen. Vingap vzur chadema wameshaur bungen ila havfanyiw kaz na serikal ya ccm? we unataka waende na matofal wakajenge taifa mle bungen? Haya watanzania wamekufa na chadema wanawazika kama utu unavyoelekeza, ww unataka waacha mazish waende bungen watoe hoja halaf hamzishugulii bali mnazomea. Wajenge taifa vp sasa? Mleta uzi acha upuuz. I bet u must hav disability in ur brain and thinking, acha ujinga na fikir kabla hujaanzisha uzi mwanamtoka pabaya wewe.
 
hawa tunawajua kitambo mkuu wala hatuna shida nao acha wakimbie kimbie.
 
Back
Top Bottom