Wabunge 4 waliobaki kati ya 19 rudini CHADEMA

Wabunge 4 waliobaki kati ya 19 rudini CHADEMA

Kwa sasa wabunge 14 kati ya 19 wameenda CCM wakati mbunge 1 ameenda CHAUMMA, wabunge 4 hawajaamua akiwemo Halima Mdee. Ninafikiri hao 4 naomba warudi kwao CHADEMA kuimarisha chama.

Kwenu kwa maamuzi yenu.
kwa hio hata wake wa Salimu Mwalimu na Benson Kigaila wameenda CCM na sio CHAUMMA kwa waume zao.

kumbe na wao wamejua CHAUMMA ni ubabishaji tu wa CCM
 
kwa hio hata wake wa Salimu Mwalimu na Benson Kigaila wameenda CCM na sio CHAUMMA kwa waume zao.

kumbe na wao wamejua CHAUMMA ni ubabishaji tu wa CCM

Kigaila na Salimu Mwalimu ni matapeli wa kisiasa. Unfortunately kwa Chadema ni vigumu sana kung'amua mapandikixi kama haya. Hao ndiyo waliosaini form za Covid 19 bila kumuhusisha Mnyika. Actually ilitakiwa waenguliwe siku nyingi sana.
 
Kigaila na Salimu Mwalimu ni matapeli wa kisiasa. Unfortunately kwa Chadema ni vigumu sana kung'amua mapandikixi kama haya. Hao ndiyo waliosaini form za Covid 19 bila kumuhusisha Mnyika. Actually ilitakiwa waenguliwe siku nyingi sana.
Chaumma
 
Kwa sasa wabunge 14 kati ya 19 wameenda CCM wakati mbunge 1 ameenda CHAUMMA, wabunge 4 hawajaamua akiwemo Halima Mdee. Ninafikiri hao 4 naomba warudi kwao CHADEMA kuimarisha chama.

Kwenu kwa maamuzi yenu.
Wakirudi Chadema basi yale matusi yote waliyotukanwa watayastahili.
 
CCM haina itikadi kwa sababu siyo chama. Najua hili wengi hawalijui au kulikubali lakini ndiyo ukweli. CCM ikipoteza madaraka leo inafutika kwenye uso wa dunia. CCM bila dola haiwezi ku-survive hata mwezi mmoja.
Huo ni ukweli, kiuhalisia ccm sio chama cha siasa na ikitokea ccm imeshindwa uchaguzi mkuu hata wanaojiita wasanii hawatotaka kuisikia. Hakuna atakayebaki ccm, hivyo ni kundi la wasaka fursa tu.
 
Kulinda heshima yao Wanitafute niwaoneshe mashamba wakalime, waachane na siasa kwa maana siasa za kikomunisti na kibeberu hawaziwezi
 
Kigaila na Salimu Mwalimu ni matapeli wa kisiasa. Unfortunately kwa Chadema ni vigumu sana kung'amua mapandikixi kama haya. Hao ndiyo waliosaini form za Covid 19 bila kumuhusisha Mnyika. Actually ilitakiwa waenguliwe siku nyingi sana.
Kiko wapi sasa wamelaanika
 
Back
Top Bottom