OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Wakati mijadala kuhusu malipo makubwa ya wabunge ukiendelea imebahinika kuwa kundi la wabunge 27 hawajawahi kushiriki kikamilifu shughuli za bunge ,ikiwa ni pamoja na kutouliza maswali ya msingi na hata kuchangia mijadala muhimu kitaifa
Mshaara wa wabunge ni shi milioni sita kwa mwezi na kwa miezi 39 ambayo wamelitumikia Bunge hadi sasa wamelipwa sh Bilioni 6.318 mpaka sasa kwa kuwa tu wabuge,hii maana yake ni kwamba kila mbunge amelamba 234 (sawa na mshhara wa watumishi 2000 wa serikali
Ni hawa wafuatao
Prof PHIELIMON SARUNGI ,EDWARD LOWASA ,ROSTAM AZIZ ,WILIAM LUKUVI ,SADIQ MURAD ,BAKARI MWAPACHU ,JOSEPH MUNGAI ,ABDALAH SALUUM ,THOMAS MWANGONDA , CHRISTINE ISHENGOMA ,na ZAKIA MEGHJI
wengine, ALLI Haji ali, ANNA ABDALA HASAN ,RAJABU KHATIB,OMAR SHEA MUSA, EUSTACE KATAGIRA ,NAZIR KARAMAGI
Mshaara wa wabunge ni shi milioni sita kwa mwezi na kwa miezi 39 ambayo wamelitumikia Bunge hadi sasa wamelipwa sh Bilioni 6.318 mpaka sasa kwa kuwa tu wabuge,hii maana yake ni kwamba kila mbunge amelamba 234 (sawa na mshhara wa watumishi 2000 wa serikali
Ni hawa wafuatao
Prof PHIELIMON SARUNGI ,EDWARD LOWASA ,ROSTAM AZIZ ,WILIAM LUKUVI ,SADIQ MURAD ,BAKARI MWAPACHU ,JOSEPH MUNGAI ,ABDALAH SALUUM ,THOMAS MWANGONDA , CHRISTINE ISHENGOMA ,na ZAKIA MEGHJI
wengine, ALLI Haji ali, ANNA ABDALA HASAN ,RAJABU KHATIB,OMAR SHEA MUSA, EUSTACE KATAGIRA ,NAZIR KARAMAGI