Wabongo tunavyokagulia "Eapoti" za Ughaibuni....

aibu yetu.

Wiki iliyopita nilikuwa Sauzi, sanduku langu nilikuta limepekuliwa vilivyo.
Niligundua hilo baada ya kulifungua(lilikuwa na kufuli), nilivyolipanga sivyo nilivyo likuta na kufuli lilifungwa kistadi lakini hakuna kilichochukuliwa.
 
Duh pole sana...huu udhia tulikuwa twauona tu kwa mataifa mwengine...lakini sasa dhahama hii ipo kwetu...

Wiki iliyopita nilikuwa Sauzi, sanduku langu nilikuta limepekuliwa vilivyo.
Niligundua hilo baada ya kulifungua(lilikuwa na kufuli), nilivyolipanga sivyo nilivyo likuta na kufuli lilifungwa kistadi lakini hakuna kilichochukuliwa.
 
Hakuna kitu kinachofanyika bila sababu!Hatuaminiki isije kuwa tumebeba mabom!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…