The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Kupitia stori na hata kushuhudia mwenyewe toka kwa watu wa karibu kweli na conclude wabongo walio wengi si waaminifu na wengi wanastahili kubakia na hali zao mbaya za kiuchumi
Stori iko hivi, kuna dada mmoja ni rafiki yangu, ile alipokuja tu hapa marekani ndugu zake nyumbani walianza kumpigia simu kulia shida, hawakujua dada wa watu ana pesa au hana wao walichojua anazo, so huyu dada akafanya kazi huku akijitahidi kuwasaidia ndugu kwa kile kidogo alichofanikiwa, miezi kama minne nyuma dada yake mkubwa akampigia kumpa dili la kiwanja hapo nje ya dar kidogo na bei aliyomwambia ni 4ml. So huyu dada akanipigia kuniomba ushauri, tukajadili kidogo na kwakuwa pesa yenyewe si nyingi nikamshauri akichukue so badala ya kutuma hiyo 4ml ya tz akatuma $4000. ambayo ni kama 7440000.Tsh so kilichotokea ni kwamba dada mkubwa kanunua kiwanja then kaandika jina lake na mume wake, mdogo mtu alipotaka ufafanuzi dada mkubwa anajibu kwa jeuri huku akidai atamlipa pesa zake.
Kiukweli ndugu zetu wengi walio bongo huwa hawathamini makubaliano hasa yanayohusu mambo ya pesa, hususani wachagga wenzangu, wengi wanapenda mambo ya kiujanja ujanja, huwezi mwamini mtu, hujui mtu anahustle kiasi gani, wakati wote jamaa wanataka kujifanya mabingwa na kukuingiza cha kike.
Stori iko hivi, kuna dada mmoja ni rafiki yangu, ile alipokuja tu hapa marekani ndugu zake nyumbani walianza kumpigia simu kulia shida, hawakujua dada wa watu ana pesa au hana wao walichojua anazo, so huyu dada akafanya kazi huku akijitahidi kuwasaidia ndugu kwa kile kidogo alichofanikiwa, miezi kama minne nyuma dada yake mkubwa akampigia kumpa dili la kiwanja hapo nje ya dar kidogo na bei aliyomwambia ni 4ml. So huyu dada akanipigia kuniomba ushauri, tukajadili kidogo na kwakuwa pesa yenyewe si nyingi nikamshauri akichukue so badala ya kutuma hiyo 4ml ya tz akatuma $4000. ambayo ni kama 7440000.Tsh so kilichotokea ni kwamba dada mkubwa kanunua kiwanja then kaandika jina lake na mume wake, mdogo mtu alipotaka ufafanuzi dada mkubwa anajibu kwa jeuri huku akidai atamlipa pesa zake.
Kiukweli ndugu zetu wengi walio bongo huwa hawathamini makubaliano hasa yanayohusu mambo ya pesa, hususani wachagga wenzangu, wengi wanapenda mambo ya kiujanja ujanja, huwezi mwamini mtu, hujui mtu anahustle kiasi gani, wakati wote jamaa wanataka kujifanya mabingwa na kukuingiza cha kike.