mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,835
- 106,035
Wacha urais na ubunge wagombee wengine sisi ni siti kwa raha zetu
Hahah hawa wajomba wakienda PK watapata taabu,maana kule ni kusubiri kwny foleni hakuna kugombania.View attachment 1373683
Wakisha kaa kila mmoja anatoa simu yake anachati, earphone zikiwa kwa sikio.
CCM ikiacha kugombania madaraka, sisi tumeiga kwenye chama
😂 😂 😂 😂 😂 😂Wakisha kaa kila mmoja anatoa simu yake anachati, earphone zikiwa kwa sikio.