Wabongo inakuwa kuwaje?

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
Staili ya watu wala hamjuani,hamkusalimiana wakati mmekutana, lakini ngoma ya Kwaito ikipigwa mnajipanga mnacheza pamoja kwa ustadi, nani amewafundisha? na ule mshikamano mnaouonyesha pale mngekuwa mnauonyesha katika kupinga kudorora kwa shilingi serikali ingekuwa imeshaondoka madarakani. style gani ile.....mnainama... wanasogea hatua mbili kushoto, wanarudi nyuma,......wabongo bana...
 
Nadhani tuchukue kwaito iwe ni mchezo wa kitaifa, maana kila Mtz karibia anajua kuucheza kwa umakini!
 
Ofsini kwetu tupo zaidi ya mia 2 siku ya family day anzia ceo kwenye kwaito raha sana
yoyo tuipige wapi wawili?
 
Kwaito iko juu,hatuihijaji energy.Si unajua kuipinga serekali kunahitaji energy,na inahitaji akili ya ziada.
 
Niliwakuta wanangu juzi wamejifungia chumbani wanacheza hiyo kitu, huku wameweka kioo kikubwa ukutani!...Ukiwauliza Lizombe na Lingoma za kwetu Songea!
 
Ofsini kwetu tupo zaidi ya mia 2 siku ya family day anzia ceo kwenye kwaito raha sana
yoyo tuipige wapi wawili?
Kuna familiy day moja wiki kama 2 hivi nilihudhuria lol.....aah sijui nani aliwafundisha kucheza woote kimstari mstari.....afu sasa hamna anaekosea woote wanapatia stepu moja mbele mbili nyuma....moja kushoto aaala......wakiinuka wanainuka wote....na kwenye maharusi inachezwa sana......

KIboko aisee niliikuta bilicanas......napenda kwaito..hasa za tkzee.....ila hii ya kucheza sare hata siikubali....imagine bilicanas kulipangwa mistari 4 watu wanainama wanainuka kulia kushoto....
 
nilianza kidogo kidogo hadi muda huu ni mtaalamu. mwanzoni nilikuwa siwezi kujipanga mstari wa kwanza kwani huwezi ziona step, ila sa ivi naweza nikawa mwanzo kabisa na kwaito ikaenda mbele! Kuhusu maandamano ya shilingi kushuka, ngoja kwanza tumalize kwaito ndo tuje huo mgoma wa kuitoa serikali
 
Tatizo la wabongo mnajua kucheza tu,lakini kufanya kazi na kusimamia rasilimali zenu zero,mtaishia kucheza tu wenzenu wanapiga kazi mfano Rwanda na Kenya.Mnapenda sana kulalama na kuiga mambo msiyoyajua.
 
Niliwakuta wanangu juzi wamejifungia chumbani wanacheza hiyo kitu, huku wameweka kioo kikubwa ukutani!...Ukiwauliza Lizombe na Lingoma za kwetu Songea!
Kwaito ni bonge la music....ila hi ya kibongo bongo kucheza kwa kuigizana bana....

Angalia waasisi wanayoicheza
 
Last edited by a moderator:
Kuna familiy day moja wiki kama 2 hivi nilihudhuria lol.....aah sijui nani aliwafundisha kucheza woote kimstari mstari.....afu sasa hamna anaekosea woote wanapatia stepu moja mbele mbili nyuma....moja kushoto aaala......wakiinuka wanainuka wote....na kwenye maharusi inachezwa sana......

KIboko aisee niliikuta bilicanas......napenda kwaito..hasa za tkzee.....ila hii ya kucheza sare hata siikubali....imagine bilicanas kulipangwa mistari 4 watu wanainama wanainuka kulia kushoto....
hukuniona kwenye msitari YOYO? MAISHA NI MAGUMU SANA yoYO especially hapa tz sometimes ni vizuri kujiachia maana shida haziishi hata ukisema uconcetrate nazo masaa 24.so mimi mambo ya kujiachia ivo ndo zangu
 
Nakuelewa fika
Mie wananiuzi sababu sijui kucheza
Kwa hiyo kwaito ikipigwa wananirudisha kwenye kiti
I hate it
Japo nafurahi kuwatizama

Na wewe ni kati ya wasiojua kuicheza?
Staili ya watu wala hamjuani,hamkusalimiana wakati mmekutana, lakini ngoma ya Kwaito ikipigwa mnajipanga mnacheza pamoja kwa ustadi, nani amewafundisha? na ule mshikamano mnaouonyesha pale mngekuwa mnauonyesha katika kupinga kudorora kwa shilingi serikali ingekuwa imeshaondoka madarakani. style gani ile.....mnainama... wanasogea hatua mbili kushoto, wanarudi nyuma,......wabongo bana...
 
Wewe ni mfaransa?
Wazazi wako je?
Ndugu zako je?

Tatizo la wabongo mnajua kucheza tu,lakini kufanya kazi na kusimamia rasilimali zenu zero,mtaishia kucheza tu wenzenu wanapiga kazi mfano Rwanda na Kenya.Mnapenda sana kulalama na kuiga mambo msiyoyajua.
 
Nakuelewa fika
Mie wananiuzi sababu sijui kucheza
Kwa hiyo kwaito ikipigwa wananirudisha kwenye kiti
I hate it
Japo nafurahi kuwatizama

Na wewe ni kati ya wasiojua kuicheza?
yaani mi mume wangu ndo alinifundisha anaiweza balaa njoo akufundishe
 
Alafu hua yapendeza kweli yaaani...
Hata kama am not in the mood of dancing
it is the only song hua nacheza kwenye sherehe husika.
 
Back
Top Bottom