Wabongo acheni kukariri maisha

Siyo kuogopa ila napenda.
Sasa kama unapenda kwa nini umeandika suala la changamoto?

Ukimuasa mtu aende kanisani kwa sababu ipo siku atapata changamoto na kuhitaji kanisa, maana yake unaenda kanisani kwa kuogopa kupata changamoto bila kuwa na msaada wa kanisa.

Kama unaenda kanisani kwa kupenda tu, suala la changamoto ni irrelevant, kwa sababu utaenda kanisani whether unategemea changamoto au hutegemei changamoto.

You are contradicting yourself.
 
Dini ya ukweli ni matendo ya mtu mwenyewe kama hivyo, unavyonsaidia wenye uhitaji naona ni Bora zaidi kuliko kumpelekea mchungaji 10%
 
SIFUNGI, SADAKA NATOA KWA WASIOJIWEZA NA WAHITAJI HATA MITAANI WAPO SIO LAZIMA NIMPELEKEE 10% MCHUNGAJI
Basi mwenyewe hapo unajiona mwambaa na umeyapatia kweli maisha, kumbe unajidanganya tuu...
 

Ndiyo maisha aliyoyachagua atajua mwenywe mhusika.
 
Ndiyo maisha aliyoyachagua atajua mwenywe mhusika.
Ndiyo maisha aliyochagua lakini habari ikishaletwa JF inakuwa open to discussion and questions.

Kama kweli ni maisha mliyochagua na mtajua wenyewe mbaki nayo huko huko msiyalete JF.

Ukishayaleta JF tu, umekaribisha discussion na maswali.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…