Wabeba boksi hembu njooni na vitu poa

Wabeba boksi hembu njooni na vitu poa

mfianchi

Platinum Member
Joined
Jul 1, 2009
Posts
12,154
Reaction score
8,910
Huu mwezi ni wakati wa Wabeba boksi wengi kuja kula krismas home baada ya mihangaiko ya kusaka maisha ughaibuni ,karibuni sana sisi Wala vumbi tunaasubirieni kwa hamu,ila sasa mjitahidi kupunguza bei za vitu vyenu mnavyouza wakati mkirudi hasa hivyo sekeni hendi,muuze kwa hela ya madafu,na msitukomea eti kwa kuwa vimetoka ughaibuni wakati bei iko chini wengine mtataka kuchuma kisa eti ni Iphone,Sony Viao nk.
karibuni sana bongo tambalale 'Sharobaro kamata mwizi man'
 
Ahahaa! Waambie bhana,naona wanakomaa na bei ile mbaya
 
nataka nilete watoto wa kizungu niwauze ..wateja wapo?
 
Wengi kurudi ni ndoto kwani walijilipua kwa kujiita wa kongo au wasudani wa Dafur, hivyo karatasi ngoma nzito.
 
tatizo hamnunui na kama mkinunua hela yenu hata bia haitoshi
endeleeni na mchina atawafaa:washing:
 
Huu mwezi ni wakati wa Wabeba boksi wengi kuja kula krismas home baada ya mihangaiko ya kusaka maisha ughaibuni ,karibuni sana sisi Wala vumbi tunaasubirieni kwa hamu,ila sasa mjitahidi kupunguza bei za vitu vyenu mnavyouza wakati mkirudi hasa hivyo sekeni hendi,muuze kwa hela ya madafu,na msitukomea eti kwa kuwa vimetoka ughaibuni wakati bei iko chini wengine mtataka kuchuma kisa eti ni Iphone,Sony Viao nk.
karibuni sana bongo tambalale 'Sharobaro kamata mwizi man'
una ugomvi na nyani ngabu:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:
 
Sasa mnataka muuziwe vitu vya ukweli kwa bei ya hasara kwani mmeambiwa wabeba box wanakuja kutoa misaada?
 
Sasa mnataka muuziwe vitu vya ukweli kwa bei ya hasara kwani mmeambiwa wabeba box wanakuja kutoa misaada?
Haya Lizzy ngoja tukomae na mchina bana,kwani 80% ya vifaa vya umeme tunavyotumia wala vumbi vinatoka kwa mchina,bakini na huyo Steve Jobs wenu
 
Haya Lizzy ngoja tukomae na mchina bana,kwani 80% ya vifaa vya umeme tunavyotumia wala vumbi vinatoka kwa mchina,bakini na huyo Steve Jobs wenu

Ndio maana kila siku vinaungua.
Nunueni vitu vya ukweli vilast bana, sio kila siku dukani.
 
Huu mwezi ni wakati wa Wabeba boksi wengi kuja kula krismas home baada ya mihangaiko ya kusaka maisha ughaibuni ,karibuni sana sisi Wala vumbi tunaasubirieni kwa hamu,ila sasa mjitahidi kupunguza bei za vitu vyenu mnavyouza wakati mkirudi hasa hivyo sekeni hendi,muuze kwa hela ya madafu,na msitukomea eti kwa kuwa vimetoka ughaibuni wakati bei iko chini wengine mtataka kuchuma kisa eti ni Iphone,Sony Viao nk.
karibuni sana bongo tambalale 'Sharobaro kamata mwizi man'

Upupu na kuchapia sana pia haueleweki
 
Ndio maana kila siku vinaungua.
Nunueni vitu vya ukweli vilast bana, sio kila siku dukani.
Hah hah vinaungua sababu ya Tanesco mara wamewasha mara wazima mara umekuja wa high voltage mara du lazima vitaungua
 
Hah hah vinaungua sababu ya Tanesco mara wamewasha mara wazima mara umekuja wa high voltage mara du lazima vitaungua
Which means mnanunua vitu cheap x nyingi = pesa nyingi. Si bora mnunue vitu vya uhakika kwa bei ya juu mkijua vitastahimili hayo matatizo na kama vikizidiwa ngumu unatumia guarantee yako vizuri.
 
Walioko US wanazo kidogo walizovuta kwa Membe baada ya kuita maandamano feki ya kumpinga JK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom