Ili ukubalike ccm isakame cdm, huyu mwigulu kete yake kubwa ni cdm. Sasa anafanya kila awezalo ili aendelee kukubalika huko ccm.
Ni adui wa watz na inchi kwa ujumla. Mhe mwingulu mchemba siasa zako ni za hatari kuliko watu wanavyo kuchulia yote hayo kwa ajili ya kuiendeleza tu ccm?
Au we sio raia wa nchi hii, mie naanza kutia shaka kuhusiana na mienendo yako kwa nchi yetu. Kwani mh wewe ni hatari kuliko ukoma.
Ila wacha viongozi wako wakuchekee na waendelee kukupongeza na kukuongezea vyeo tahamaki maji yamemwagika hayazoleki tena.
Kwanini kila ovu ni ww tu? Na kwann asiwe labda j makamba? Bara hata nape anweza kuwa na chembe ya huluma hata ukimtazama usoni huwa anacho ongea nai tofauti na sura yake, kuliko ww osama wa tz.
Siasa zako zitaiangamiza nchi yetu usitegemee cdm kila siku watakuwa makondoo
kwann usiwe na siasa za kisitabu?
Ni ww tu kwenye jimbo lako mtu alipoteza maisha kutokana na siasa zako hujifunzi?