Wabarbaig na Wamang'ati

Ivi kunatofauti kati ya wabarbeig na Wamang'ati.
Wadatooga (pia huitwa Wataturu au Wamang'ati) ni kabila la watu wa Kiniloti nchini Tanzania wanaoishi hasa katika mikoa ya Manyara, Mara, Arusha na Singida.

Mwaka 2000 walikadiriwa kuwa 87,978.

Lugha yao ni Kidatooga, ingawa lahaja zake zinatofautiana kiasi kwa kufanya maelewano kuwa magumu.

Kuna walau makundi saba:

1- Wabajuta
2- Gisamjanga (Kisamajeng, Gisamjang)
3- Wabarabayiiga (Barabaig, Barabayga, Barabaik, Barbaig)
4- Waasimjeeg (Tsimajeega, Isimijeega)
5- Warootigaanga (Rotigenga, Rotigeenga)
6- Waburaadiiga (Buradiga, Bureadiga)
7- Wabianjiida (Biyanjiida, Utatu)
800px-Datoga_Skinning_Hide.jpg
 
Wadatooga (pia huitwa Wataturu au Wamang'ati) ni kabila la watu wa Kiniloti nchini Tanzania wanaoishi hasa katika mikoa ya Manyara, Mara, Arusha na Singida.

Mwaka 2000 walikadiriwa kuwa 87,978.

Lugha yao ni Kidatooga, ingawa lahaja zake zinatofautiana kiasi kwa kufanya maelewano kuwa magumu.

Kuna walau makundi saba:

1- Wabajuta
2- Gisamjanga (Kisamajeng, Gisamjang)
3- Wabarabayiiga (Barabaig, Barabayga, Barabaik, Barbaig)
4- Waasimjeeg (Tsimajeega, Isimijeega)
5- Warootigaanga (Rotigenga, Rotigeenga)
6- Waburaadiiga (Buradiga, Bureadiga)
7- Wabianjiida (Biyanjiida, Utatu)View attachment 597459
Ahsante sana
 
Back
Top Bottom