BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
asante kwa ushauri.
ivi, nikiamua kunyamaza itakuwaje? si anaweza kuelewa kuwa am not interested, au nyie mnaionaje hii. Je nimueleze mume wangu?
huyu baba ni mtu mzima kidogo, yani anapishana umri kidogo tu na baba yangu.
Anaweza kuwa anataka kuoa mke wa ili ati! kama unaweza ukewenza basi hakuna lalam! kazi kwako