Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Safi sana, nimeona wiki hii jw wapo wa kutosha mpakani
California love
Safi sana wacha wakione cha-ntema kuni, hatujaribiwi.
Safi sana, nimeona wiki hii jw wapo wa kutosha mpakani
California love
Kinachonishangaza, kila siku huwa wanawaponda JW kuwa ni wavunja matofali kwa kichwa ila hapa wanawasifia kama sio wao waliokuwa wanawaponda. Kweli bila unafiki maisha hayaendi aisee!!Mada inahusu msumbiji, michango imehamia JW.
kaz.
Vita Haina nacho Kama gaidi akikimbilia nyumban kwako na wewe huripoti kuwa kuna gaidi ndani Hapo dawa Ni kuiuvurumishia bomu hiyo nyumba kuua wote kuanzia gaidi na wote waliomo humo ndani na kuendelra kusaka wengine
Raia anayehifadhi gaidi naye gaidi risasi inamhusu kaulize mziki wa mkuranga,kibiti na Rufiji mzazi akihisi tu.mwanae gaidi alikuwa anakimbia mwenyewe kwenda mripoti mziki wake ulivyokuwa mnene
Mbona migaidi imeisha kule ndio.mingine ikatimukia msumbiji Sasa wanaume JWTZ wamewafuata huko huko watakoma
Ila tusiende Mogadishu tu mkuu.Ruksa ila gharama za Vita zibebwe na nchi husika
M23 waasi was Kongo walisumbua Sana majeshi kibao ya nchi nyingi tu yalipelekwa kupambana na M23 wakashindwa JWTZ walipoenda waliwafyekelea mbali Hadi Leo hawapo
Kongo wawakodi JWTZ wawafanyie kazi
Tusipigane Tena Vita za bure.Nchi za kusini mwa Africa ikiwemo Afrika kusini tumepigana Sana kule lakini Leo watanzania kule wanaonekana takataka tu
Sasa hivi tupigane kwa malipo cash sio.mkopo
Hata Nigeria wakitaka wachukue JWTZ ikapambabe na magaidi was boko haramu wanaweza .WakodibJWTZ waende kule waone muziki.wake boko Haram kitawakuta kiyama
Nashangaa jeshi la Nigeria linawashindwa wahuni wale wa boko haramu kuwamaliza.Watoe hiyo tenda kwa JWTZ waone Boko Haram itakuwa historia
Na wangeingia kwenye mafuta ingekuwa kama kule Nigeria mkuu.wameingia Mozambique sijapata hizo hbr mkuu tulisikia JWTZ wapo mipakani tu ila kwamba wameingia Moza sijasikia inawezekana nyusi kayajenga ya mkulu mana hali ilikuwa tete hawa waasi walijipanga sana washaua raia wakutosha sana bila kusahau majeshi na police wa moza wamekufa sanana kilichokuwa kimebaki ni kuingia eneo ilipo kazi ya mgodi wa mafuta na gas nadhani ndo ilikuwa target yao kuu japo wengine wanasema ni siasa tu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo mbaya,Sikatai lkn kuwamaliza wote ni ngumu, lazima na raia nao wajumuishwe kwa kutuhumiwa kua magaidi.
Mkuu nikupe pongezi kwa kuchagua kufanya kazi ya kuilinda nchi na mipaka yake, kwenye hili la ugaidi msicheke na mtu, bado tunakumbuka ya Amboni Tanga, Zanzibar na Kibiti. Hawa magaidi hakikisheni mnang'oa mpaka mizizi yake, hawa magaidi kama wanataka kuendelea na uhailifu wao watafute sayari nyingine ya kuendeshea shughuli zao.Ndoma narudia tena kusema hivi ww ujui lolote kusu Jeshi unauhakika kama atulipwi aisee msiongee tuu vitu msivyovijua kupigana na mvamizi anaevamia mipaka yako na kuenda kupigania jchifurani kutaka kupata amani vitu viwili tofauti ndomana nikasema ujui lolote...nakazia tens ujui lolote...
121.
Kuna Shehe kutoka Same alikuwa na kazi ya kuvila vitoto vya kiume huko Arusha, mwishowe alifungwa. Hiyo ya Kimaro ilikuwa haina ushahidi kwani hata aliyedaiwa kufanyiwa vile alikanusha.Kama yule aliekuwa akijiita padri Sixths Kimaro. Alivyokutwa kwenye gari akimsodoma kijana mdogo. Na kesi yake mapadri wenzake wakahakikisha mfumo kristo unatamalaki kuizima ili kuendelea kuutukuza mchezo wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio yalikuwa maagizo ya malaika wenu MagufuliSawa lkn lazima raia wengi wauliwe kwa kuitwa magaidi.
kuingia eneo ilipo kazi ya mgodi wa mafuta na gas sio lengo lao.wameingia Mozambique sijapata hizo hbr mkuu tulisikia JWTZ wapo mipakani tu ila kwamba wameingia Moza sijasikia inawezekana nyusi kayajenga ya mkulu mana hali ilikuwa tete hawa waasi walijipanga sana washaua raia wakutosha sana bila kusahau majeshi na police wa moza wamekufa sanana kilichokuwa kimebaki ni kuingia eneo ilipo kazi ya mgodi wa mafuta na gas nadhani ndo ilikuwa target yao kuu japo wengine wanasema ni siasa tu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, umekasirika waasi kuuawa?Nao wanapewa na lile dhehebu la wapenda ushoga. Na vijana wengi wa kiume kupenda kuchezewa na viongozi wa madhehebu hayo
Huyo atakuwa ni mmojawapo wa hao magaidi..why achukie oparetionMkuu, umekasirika waasi kuuawa?
kuingia eneo ilipo kazi ya mgodi wa mafuta na gas sio lengo lao.
Hao mbwa ndio walinzi wenyewe haswa wa hio migodi ya mafuta na gesi, mabeberu wangese sana.
Wanatengeneza makundi ya kigaidi kwa lengo la kuwatia hofu na muanze kupigana na kuuana wenyewe kwa wenyewe halafu wao wanajibebea rasilimali zenu kiulani kabisa.
Walaaniwe mabeberu pamoja na vibaraka wao popote pale walipo,
Itikieni Ameen……
Kuna mtu atakwambia Mungu wabariki wazunguAmen mkuu hapa kuna kaukweli flani maana tangu wameanza washaingia wilaya karibu 5 lkn kwnye wilaya ulipo mgodi hawajagusa kabisa na kszi inaendelea bila shida hii issue inautata sana dah
Habari za kipropaganda hizi.Hakuna uhakika wowote kama wamekufa kweli hata maiti zao hatujaona... sema magaidi mziki wao mkubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app