s.fm
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 663
- 117
waasi wanaweza kutokea mahali popote duniani...hasa pale hali ya maisha inapokua ngumu sana! lakini mara nyingi hawa watu huonekana kama wakipata support ndio utawaona na kuna wengine huwa wanaonekana kidogo then wanapotea (kuuawa au kukimbia nchi).....! na hapa lazima kuwe na spirit (mzuka wa hali ya juu sana otherwise hamna kitu ndio maana hata wengine wanahusiwa na ushirikina kama wale wa uganda na kule DRC kwa sababu hawa ndugu ukikutana nao ni balaa