HAKUNA MAREFU YASIYO KUWA NA NCHA.
:shock:Nitaendelea kuamini kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha,kwani ndugu zangu,wabunge wa Mwanza wakitaka
ama wanataka kuendelea kutawala milele,na wanajaribu kufanya wema machoni pa watu waweze tambuliwa na jamii kuwa wanawajali kwa kuyatumia matatizo ya wananchi wao kwa kuwahonga na kuwanuulia vitu vidogo kali wakijua kuyatenda hayo ni
makosa.Lakini kwa kuwa wao wanataka kutawala milele,na wameahidiwa na wakuu wao kupata nafasi nzuri na za juu serikalini
ikiwemo Uwaziri,Ukatibu,hata Ubalozi kwani zaonekana ndizo post za walioshindwa ama kutokuwa na uwezo kiuongozi.
Kumbuka siku moja utakuja ya jibu haya myatendayo mbele ya Mungu wetu,chunga mwenendo wako usiwatumie walalahoi
kutimiza haja zako.Tujenga Tanzania ya kweli.:A S 465::shock: