Waarabu wameamua kumwabudu Trump

Waarabu wameamua kumwabudu Trump

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,464
Reaction score
27,064
Waarabu wameamua kumwabudu Trump


Sio kwa mapenzi haya. Hapo ni Emirates Trump katua leo baada ya kutoka ziara Qatar. Wamempangia Trump warembo wa kiarabu vichwa wazi, wakizunguka kwa madaha mbele ya mkuu. Ingawa mkuu anawaza hela tu, anapita kwa mbali. Napo watasaini deal zito ni kama wanashindana kumwaga pesa kwa mzungu.

Ziara hii imetupa ufahamu kuwa, Marekani kwa muarabu ni nani. Tumeiona nguvu yake kwa vuguvugu hili la Waarabu ambayo Waarabu wameshaiona siku nyingi kasoro Wajahidina. Na zaidi tusiwadharau Waarabu, wameamua kula na kipofu, maana sio rahisi kujitoa mikononi mwa Marekani. Wanajua matokeo yake ni nini, na kwanza ndio anawalinda. Na zaidi Marekani ndio mteja wao mkuu wa mafuta ingawa Marekani ina mafuta mengi zaidi yao ila haiyachimbi. Waafrika tujifunze, kuwa provoke wazungu sio ushindi wa Afrika. Tunapaswa kujifunza kula na kipofu huku tunajenga nchi zetu kama Waarabu au China.

Ila nimepita huku na kule nimeona Waarabu weusi wa Buguruni wamenuna na wanaumia na kurusha matusi tu kwa Mwarabu mweupe hadi nimeshangaa. Naona nao wanajihisi ni sehemu ya nchi hizo, aibu yao. Narudia tena, Muarabu hana time na wewe sababu ya dini, dini haimfanyi kutokuwa mwarabu, anakushangaa wewe kukomaa na mila zake huku yeye hana time na zako. Uislamu haukufanyi kuwa mwarabu. Shame.

Jenga kwako maana ndipo utakapozikiwa.
 
The Opposite is the truth.

Je, Ulishawahi kumsikia Trump akimzungumzia Barak Obama alivyoenda Uarabuni?
 
Waarabu wameamua kumwabudu Trump

View attachment 3334924
Sio kwa mapenzi haya. Hapo ni Emirates Trump katua leo baada ya kutoka ziara Qatar. Wamempangia Trump warembo wa kiarabu vichwa wazi, wakizunguka kwa madaha mbele ya mkuu. Ingawa mkuu anawaza hela tu, anapita kwa mbali. Napo watasaini deal zito ni kama wanashindana kumwaga pesa kwa mzungu.

Ziara hii imetupa ufahamu kuwa, Marekani kwa muarabu ni nani. Tumeiona nguvu yake kwa vuguvugu hili la Waarabu ambayo Waarabu wameshaiona siku nyingi kasoro Wajahidina. Na zaidi tusiwadharau Waarabu, wameamua kula na kipofu, maana sio rahisi kujitoa mikononi mwa Marekani. Wanajua matokeo yake ni nini, na kwanza ndio anawalinda. Na zaidi Marekani ndio mteja wao mkuu wa mafuta ingawa Marekani ina mafuta mengi zaidi yao ila haiyachimbi. Waafrika tujifunze, kuwa provoke wazungu sio ushindi wa Afrika. Tunapaswa kujifunza kula na kipofu huku tunajenga nchi zetu kama Waarabu au China.

Ila nimepita huku na kule nimeona Waarabu weusi wa Buguruni wamenuna na wanaumia na kurusha matusi tu kwa Mwarabu mweupe hadi nimeshangaa. Naona nao wanajihisi ni sehemu ya nchi hizo, aibu yao. Narudia tena, Muarabu hana time na wewe sababu ya dini, dini haimfanyi kutokuwa mwarabu, anakushangaa wewe kukomaa na mila zake huku yeye hana time na zako. Uislamu haukufanyi kuwa mwarabu. Shame.

Jenga kwako maana ndipo utakapozikiwa.
Sahihi! Kwa hiyo niki silimu( kuwa muislamu) nakuwa nimefata mila na desturi za waarabu sio?
 
Wanatumia akili.Hawapo rigid kama kalio la nyati mzee.Ukitaka wakufurahishe wewe kaflambute utachelewa sana kuujua mchezo kamili.
 
Kwamba mwarabu mweusi wa ushirimbo naye anayejiona ni miongon mwa raia wa Qatar kisa wale ni waislam kama yeye? Duh
Eeeee! Ndo maana yake. Ndo maana unaona jinsi wanavyo watetea hamas Yaani Walituaminisha humu baada ya October 7 kuwa IDF haiwezi kukanyaga Gaza ikikanyaga gaza tu Iran( kubwa la magaidi) linaingilia
 
Kaka mgalatia hiyo ni utamaduni wa nchi za kiarabu miaka na miaka kwa wanawake kuchezesha nywele, kwenye sherehe yoyote
 
744ED7F2-1815-4DE3-A4F3-E03A9E9E8088.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: K11
Nimekuonyesheni hiyo picha nyingine ya miaka kabla ndio ngoma zao
 
Back
Top Bottom