PreGE2025 Waandishi wa Habari watolewa nje ya chumba cha Mahakama kunakosikilizwa kesi ya Tundu Lissu Kisutu

PreGE2025 Waandishi wa Habari watolewa nje ya chumba cha Mahakama kunakosikilizwa kesi ya Tundu Lissu Kisutu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Katika hali isiyo ya kawaida mahakamani, leo Juni 16,2025 Hakimu alitangulia kuingia ukumbini kabla ya mtuhumiwa, Mbunge wa zamani na Mwanasheria, Tundu Lissu. Mara baada ya Hakimu kuingia, waandishi wa habari waliokuwepo walitakiwa kutoka nje ya ukumbi ili wasipige picha wakati Lissu akiingia mahakamani hapo.

 
Kwani tutaishi milele?, ya nini kutendeana hiyana hapa duniani?
 
Ni mbinu ya Kishamba inayolenga kupunguza Taarifa nyingi na nzuri za Lissu ndani ya Mahakama.

Screenshot_2025-06-16-15-37-25-1.png


Lengo kuu ni kudhibiti Watu maarufu na Jumuiya ya Kimataifa kuongea ama kumsalimia Tundu Lissu ndani ya Mahakama, kama ilivyokuwa kwa Majaji wa Kenya mwanzo wa kesi

Screenshot_2025-06-16-12-13-50-1.png


Nje ya Mahakama nako ikawekwa mikwara ya Kijinga ya Watu kusogelea Alipo Tundu Lissu kwa Style ya Kutishana kwa Mitutu ya Bunduki

Screenshot_2025-06-16-15-53-37-1.png


Lakini Je mbinu hii ya Kishamba iliyojaa Ujinga Mtupu inaweza kufifisha Taarifa za Kesi hii ya Uongo zilizozagaa kote Duniani?
 
Mbwembwe nyingi kumbe madam ana hofu October hatoboi.

Ukistaajabubya Musa utayaona ya yezebel
 
Waandishi wa habari badala ya kuandika kwa kina mahojiano baina ya mawakili na mwenendo mzima wa kesi, uandishi wao ni duni (shallow) sana, hawataki kuandika kitacho mchoma mtawala au serikali kilichojitokeza katika mwenendo wa kesi.

Bora tulivyopigania kesi iendeshwe mubashara / live tumepata nafasi ya kuona mwenendo kesi bila kutegemea uandishi wa ki-chawa wa waandishi kuwa habari kuu ktk kesi ya Lissu : Ona Gari la Magereza lilivyoingia kwa kasi au Ulinzi Mkali Mahakamani n.k
 
Waandishi wa habari badala ya kuandika kwa kina mahojiano baina ya mawakili na mwenendo mzima wa kesi, uandishi wao ni duni (shallow) sana, hawataki kuandika kitacho mchoma mtawala au serikali kilichojitokeza katika mwenendo wa kesi.

Bora tulivyopigania kesi iendeshwe mubashara / live tumepata nafasi ya kuona mwenendo kesi bila kutegemea uandishi wa ki-chawa wa waandishi kuwa habari kuu ktk kesi ya Lissu : Ona Gari la Magereza lilivyoingia kwa kasi au Ulinzi Mkali Mahakamani n.k

Cheki jinsi habari za mahakamani zinavyo chambuliwa na mwandishi mwenye elimu ya sheria tofauti na waandishi wetu wa udaku na mpira wa miguu wanavyotaka kuingia mahakamani huku hawana ufahamu wa kuripoti kilichojiri ktk mwenendo wa kesi :

19 June 2025
Abuja, Nigeria

Kesi ya seneta Natasha yachambuliwa ilivyowasilishwa mahakamani

View: https://m.youtube.com/watch?v=7sMer6blR08
Let's take a look at the many issues of law surrounding the arraignment of Sen. Natasha. What are the best available options for her?


View: https://m.youtube.com/watch?v=5jfX_WoiBNo
Court grants Senator Natasha N50m bail, slates Sep 23 for trial ABUJA– The High Court of the Federal Capital Territory, FCT, sitting at Maitama, has granted bail to the suspended Senator for Kogi Central, Natasha Akpoti-Uduaghan, to the tune of N50million. The court, in a ruling that was delivered by Justice Chizoba Orji, rejected application the Federal Government made for the defendant who was arraigned on a three-count charge, to be remanded in prison custody pending the determination of the case against her.
 
RAIS WA BUNGE LA DUNIA, KESI YA MWANASIASA WA NIGERIA, ASIKIA USHUHUDA WA UGHADAMIZI, SHAMBULIO NA NGUVU DOLA INAVYOTUMIWA VIBAYA

Rais Dr. Tulia Ackson akiongoza kikao cha Bunge la Dunia na mbele yake kikao kusikia kuhusu dhahama zilizoelekezwa kwa seneta wa jimbo la
Kogi Central la nchini Nigeria, mheshimiwa Natasha Akpoti-Uduaghan...

View: https://m.youtube.com/watch?v=FSJacowepy4
 
Ni mbinu ya Kishamba inayolenga kupunguza Taarifa nyingi na nzuri za Lissu ndani ya Mahakama.

View attachment 3371593

Lengo kuu ni kudhibiti Watu maarufu na Jumuiya ya Kimataifa kuongea ama kumsalimia Tundu Lissu ndani ya Mahakama, kama ilivyokuwa kwa Majaji wa Kenya mwanzo wa kesi

View attachment 3371595

Nje ya Mahakama nako ikawekwa mikwara ya Kijinga ya Watu kusogelea Alipo Tundu Lissu kwa Style ya Kutishana kwa Mitutu ya Bunduki

View attachment 3371598

Lakini Je mbinu hii ya Kishamba iliyojaa Ujinga Mtupu inaweza kufifisha Taarifa za Kesi hii ya Uongo zilizozagaa kote Duniani?
Du! Bunduki gani tena
 
Back
Top Bottom