fiksiman
JF-Expert Member
- May 17, 2008
- 402
- 104
Ni kawaida kabisa kukuta kichwa cha habari kikubwaa cha kuvutia tena kwenye gazeti lenye heshima la kitaifa KURASA YA MBELE kuashiria habri muhimu na jamii yote ipepesa macho na hata kuingia mifuko wanunue ili wajue kuna nani. Maajabu utasikia kinasema "Bwana Fulani anatabia ya kujisaida kitandani" au amelala nyumba ndogo!
Sio siri inakera sana hasa ukijua kuwa aliyeandika habari hiyo hakuwa na hakika pengine alipata dokezo toka mtu wa karibu wa mtu huyo basi atasema chanzo chetu cha kuaminika. Mhusika cha kushangaza zaidi mhusika akijitokeza kukanusha ama kutaka kuwachukulia hatua wanakimbilia uhuru wa vyombo vya habari ooh sijui waache waandishi waseme...ebooo kusema gani kusiko na mipaka? Na haya tuambie ni sehemu gani iliyosema habari za mtu binafsi ni uhuru wa kusema....uandishi gani huu kajisema chenkapa!
Nasema tujirekebishi sitaki kusema mengi au kuibua na kuanza kutajana majina fulani hajaenda shule kaingizwa na shemeji yake baada ya kufundishwa ABC za uandishi na inasemekana kila akiandika habari zake lazima agezee habari ya kwenye gazeti ili asikosee kanuni...aaah tujirekebishe hata wewe hujasomea sasa si uanze kwa kujifunza heshima ya fani yenyewe badala ya kuwachafua wenye fani zao!!!!! Kuna mambo mengi ya msingi kama baa la njaa linalonukia, maslahi ya wabunge na uwiano wa kazi wanazozifanya au hata upungufu wa wataalam kutokana na vijana wengi kushindwa kulipia gharama za elimu juu huku Serikali igawa mabilioni kwa wajasiliamali ambao watagawana elfu hamsini kama mtaji...eee bwana ndio yapo hayo muyaandike na sio huo ushabiki wenu maandazi.
Sio siri inakera sana hasa ukijua kuwa aliyeandika habari hiyo hakuwa na hakika pengine alipata dokezo toka mtu wa karibu wa mtu huyo basi atasema chanzo chetu cha kuaminika. Mhusika cha kushangaza zaidi mhusika akijitokeza kukanusha ama kutaka kuwachukulia hatua wanakimbilia uhuru wa vyombo vya habari ooh sijui waache waandishi waseme...ebooo kusema gani kusiko na mipaka? Na haya tuambie ni sehemu gani iliyosema habari za mtu binafsi ni uhuru wa kusema....uandishi gani huu kajisema chenkapa!
Nasema tujirekebishi sitaki kusema mengi au kuibua na kuanza kutajana majina fulani hajaenda shule kaingizwa na shemeji yake baada ya kufundishwa ABC za uandishi na inasemekana kila akiandika habari zake lazima agezee habari ya kwenye gazeti ili asikosee kanuni...aaah tujirekebishe hata wewe hujasomea sasa si uanze kwa kujifunza heshima ya fani yenyewe badala ya kuwachafua wenye fani zao!!!!! Kuna mambo mengi ya msingi kama baa la njaa linalonukia, maslahi ya wabunge na uwiano wa kazi wanazozifanya au hata upungufu wa wataalam kutokana na vijana wengi kushindwa kulipia gharama za elimu juu huku Serikali igawa mabilioni kwa wajasiliamali ambao watagawana elfu hamsini kama mtaji...eee bwana ndio yapo hayo muyaandike na sio huo ushabiki wenu maandazi.