Waandishi Arusha wagomea mkutano, kudai uhuru wa mwandishi wa ITV

Ivi visa vingine ndo vyachafua serikali ya JPM
Sasa DC anataka kila habari inayoandikwa iwe ya kumfurahisha not otherwise?
Anyway as long as vyombo vya sheria vipo then wakapambane mahakamani.
 
Waandishi wa habari wangeacha kuripoti habari fulani mbona wangeheshimiwa tu, sema hawajatambua mchango wao kwa taifa

Wengi ni wachumia tumbo. Akipiga mkwala mkuu wa kaya utawasikia wamejaa kwenye matukio. Wa kwanza kumgea alikua mkuu wa kaya . Siku anawaita kwenye mkutano wake siku hiyo hiyo sheria mbovu ya habari inapitishwa . Wangegoma messeg yao ingekua kubwa kwa serikali
 
Tafuta habari inayohusu maji usome,hii inahusu kumgomea Lukuvi.Acheni uvivu,wabongo mkoje,mbona midebwedo sana?


Si kwamba sifahamu ila nimeandika kwa lengo la kuwataka watu waandike habari kamili kwa faida ya wale wasiojua chanzo cha hilo sokomoko
 
UKAWA hii ishu mnataka kuidandia mchukuliepo ujiko. ha ha haaa.! UKAWA buanaa, roho mbaya zenu zitawaua. mtashangaa ishu itaisha na ITV wataendelea kuripoti habari za arumeru na huyo mkuu wa wilaya kama kawaida.

UKAWA tumieni nguvu nyingi kujipanga namna gani mtaingia madarakani, haya mengine mnapoteza muda tu bure.

hii ni ishu ya mwandishi wa ITV na mkuu wa wilaya, UKAWA fanyeni yenu. khaaa.! kila kitu mwadandia tuu utadhani hamna cha kufanya.
 
UKAWA hii ishu mnataka kuidandia mchukuliepo ujiko. ha ha haaa.! UKAWA buanaa, roho mbaya zenu zitawaua. mtashangaa ishu itaisha na ITV wataendelea kuripoti habari za arumeru na huyo mkuu wa wilaya kama kawaida.

UKAWA tumieni nguvu nyingi kujipanga namna gani mtaingia madarakani, haya mengine mnapoteza muda tu bure.

hii ni ishu ya mwandishi wa ITV na mkuu wa wilaya, UKAWA fanyeni yenu. khaaa.! kila kitu mwadandia tuu utadhani hamna cha kufanya.
Samahani ...eti na wewe ni Great Thinker au umekosea kujiunga
 
Taaluma ya uandishi wa habari kwa sasa ni ngumu kwani wapo waandishi wapo mguu ndani mguu nje hivyo wanahujumiana wenyewe kwa wenyewe .Waandishi wa habari kuwa na msimamo wa pamoja ni ndoto.
 
Movement hii inatakiwa iwe ya nchi nzima' wagomee kuripoti habari zozote za serikali ya awamu hii mpaka huyo mwandishi atakapoachiwa huru.
 
Hivi Katiba ipoje kwenye suala LA kuwekana ndani, wanasheria hembu tusaidieni wengine hatujui lolote khs sheria, maana naona siku hzi ukimzingua tu kiongozi au asipofurahishwa na mwenendo wako unawekwa ndani.......

Bado tunatumia sheria za kikoloni na bado hawataki kuzibadilisha
 
UKAWA hii ishu mnataka kuidandia mchukuliepo ujiko. ha ha haaa.! UKAWA buanaa, roho mbaya zenu zitawaua. mtashangaa ishu itaisha na ITV wataendelea kuripoti habari za arumeru na huyo mkuu wa wilaya kama kawaida.

UKAWA tumieni nguvu nyingi kujipanga namna gani mtaingia madarakani, haya mengine mnapoteza muda tu bure.

hii ni ishu ya mwandishi wa ITV na mkuu wa wilaya, UKAWA fanyeni yenu. khaaa.! kila kitu mwadandia tuu utadhani hamna cha kufanya.
Duuuuh,kwahiyo watu kuchangia kupinga ukandamizaji ndio wameshakuwa ukawa?Kumbe ukawa ndio tu watetezi wa haki?Hongera kwa kujua hilo
 
Mmmmmh Ngoja tuone mwisho wake! Ila sioni ile maana halisi ya Uhuru katika nchi yangu kwa sasa [HASHTAG]#sizonje[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom