Hatimae amepatikana aliyemzidi MOTOCHINI kwa kuwa The Most Bogus person in the Forum. Hongera! What a Bogus comment?UKAWA hii ishu mnataka kuidandia mchukuliepo ujiko. ha ha haaa.! UKAWA buanaa, roho mbaya zenu zitawaua. mtashangaa ishu itaisha na ITV wataendelea kuripoti habari za arumeru na huyo mkuu wa wilaya kama kawaida.
UKAWA tumieni nguvu nyingi kujipanga namna gani mtaingia madarakani, haya mengine mnapoteza muda tu bure.
hii ni ishu ya mwandishi wa ITV na mkuu wa wilaya, UKAWA fanyeni yenu. khaaa.! kila kitu mwadandia tuu utadhani hamna cha kufanya.