TASLIMU
Senior Member
- May 6, 2011
- 144
- 21
Waalimu ajira mpya waliamua kulala ukumbi wa halimashauri jana tr 3/2/2012,baada ya kuona mambo hayaeleweki,hawajapewa pesa za kujikim,leo mkurugenzi ameewambia hawana pesa,hivo waende vituon,wamesambazwa vituon,bila chochote,wototo wakike sijui wanaishije,kwanin wanasiasa ni waongo,nakumbuka N/W mh Kassimu Majaliwa katika kipindi cha dk 45 ITV,Alisema fedha zote zimeshasambazwa ktk halimashauri,iweje sasa mpaka leo hawajapewa chao