Waalimu wapya tunapostiwa lini?

Waalimu wapya tunapostiwa lini?

He, January ndo hii inakatika, Mulugo kulikoni?
 
Endeleeni kuvuta subira,JK anawasiliana na wadau nje ili posho yenu ipatikane.Inshalah Feb mwnzoni kitaeleweka
 
Wenzenu discpline nyingine tushazoea kukaa mwaka bila ajira, nyie miezi michache tu mshachoka?? Aaaah jamani em kueni wavumilivu
 
Nenda kafundishe private school.Ajira za serikali hamna kabisa
 
Nyie kaeni kusubiri serikali ya maccm iwaajiri. Wenzenu wenye akiri leo wanaenda kukinukisha wizarani harafu nyie mmeukarisha 2 majumbn mwenu kazi kulia lia 2 Mulugo Mulugo, huyu ni baba enu? NYAMBAFU!
 
Mbona hafunguki? Kama vipi atuambie tutafute ajira kwingine.

alichosema yy n kwamba ajira zitatangazwa wakati wowote, endeleeni kusubir, sasa kuna watu walipata tetesi kuwa itakuwa mwez wa tano!! Sasa kama una kaz ya kufanya umepata we fanya tu!
 
Back
Top Bottom