Waalimu wapya tunapostiwa lini?

Waalimu wapya tunapostiwa lini?

Post ziko tayari.tatizo hazina hakuna pesa ndugu.subiri wakusanye ndo watadisplay post ujue umepangwa wapi.yaweza kuwa hata baada ya bajet 2013/14.hazina imefulia.

Mh, unatuogopesha mkuu. Tumeshachoka kukaa mtaani bila kazi, du!
 
Mmmmh! Polen ndugu walimu kwa kujipa matumaini.. Post hakuna tena serikal haina fedha so KUWENI WAJASILIAMALI TU...
 
Hiyo ndo serikali sikivu ya ccm, watu wakisema serikali imefulia, mawaziri na maccm hukomaza shingo zao na midomo na kusema hazina ina pesa za kutosha. Post za walimu zimeanza kutangazwa na viongozi wa kisiasa,tangu si leo mara rais,waziri wa elimu nk. Huu ni ubabaishaji. Poleni walimu hii ndo serikali mliyoiweka madarakani,porojo ni sehemu ya kazi yao!
 
Will this week end before the postings are availed?
 
Nawashauri ukipangiwa kazi ya ualimu kama huna kazi nenda popote pale then utapata mawazo mengne wkt upo kazini,ogopa kukataa kaz wku huna kaz tkcare.
 
Nawashauri ukipangiwa kazi ya ualimu kama huna kazi nenda popote pale then utapata mawazo mengne wkt upo kazini,ogopa kukataa kaz wku huna kaz tkcare.

Hata Tandahimba tutaenda, chezea msoto wewe.
 
Nimeambiwa na mtu fulani kuwa eti posti zitatoka wiki ijayo bila kuchelewa, ila mi sina hakika hadi hapo nitakaposikia tangazo toka wizarani.
 
Inabidi 2amke kwa kuchagua serikali itakayofaa na kutimiza vi2 vya muhimu kwa wakati km hv.
 
Presha inapanda, presha inashuka. Kuna mdau Halmashauri(Arusha) kaniambia kwa kujiamini kuwa post zitatoka kesho. Waalimu tujiandae kwenda Simiyu, Rufiji, Ngara etc.
 
Presha inapanda, presha inashuka. Kuna mdau Halmashauri(Arusha) kaniambia kwa kujiamini kuwa post zitatoka kesho. Waalimu tujiandae kwenda Simiyu, Rufiji, Ngara etc.

Du, ina maana yule mdau alinidanganya? Mbona kwenye website ya wizara ni empty?
 
Watanzania wengi wakiambiwa serikali ni dhaifu hawaamini,inasadikika serikalini nidhamu ya matumizi ya pesa hakuna,kuna katabia ka kuhamisha mafungu kutoka idara moja kwenda nyingine, fungu la kuajiri walimu wapya lilihamishiwa idara za usalama. Kuweni wavumilivu mpaka mwezi march. Poleni sana.
 
Back
Top Bottom