Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,283
- 13,720
Waalimu waliosoma Arts wanaonekana wana Bahati mbaya they are real against the Odds Serikali Kupitia TAMISEMI imesema Katika ajira za Waalimu idadi itajumuisha Wahudumu wa maabara ( Laboratory Technicians) ambapo sasa Ukijumulisha na waalimu wa Science ambao ni Kipaombele cha Taifa kwani tunataka Tuifikie China Kiteknolojia.
Walimu hawa sasa hakuna afadhali kwao kwani kila tamko linalotoka wao linakua haliwabebi . Serikali inasema pia kuwa inasikitika sana na Watanzania wengi kupenda vitu rahisi rahisi kwani taangu serikali itamke kuwa Sayansi ndiyo kipaombele cha taifa watu wameendelea kusoma Sanaa tu na Kumekua na ongezeko kubwa la walimu wa arts wanaohitimu ambapo taifa haliwezi Kumudu kuwaajiri.
Walimu hawa sasa hakuna afadhali kwao kwani kila tamko linalotoka wao linakua haliwabebi . Serikali inasema pia kuwa inasikitika sana na Watanzania wengi kupenda vitu rahisi rahisi kwani taangu serikali itamke kuwa Sayansi ndiyo kipaombele cha taifa watu wameendelea kusoma Sanaa tu na Kumekua na ongezeko kubwa la walimu wa arts wanaohitimu ambapo taifa haliwezi Kumudu kuwaajiri.