kweli!?Mnadharaulika nyie huku msiojua haki zenu na umasikini wenu wa akili
Mimi hakuna wa kunidharau aseehhh
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
mimi naiachaFani ya ualimu inadharaulika sana . Ndo maana elimu imeshuka
Nani akafundishe sasa mkuu? Dah,nimecheka. Sio kazi yakufanya???Ualimu sio kazi ya kufanya kwenye huu ulimwengu wa tatu basi tu umaskini watu hawawezi kuchomoka huko na hii ndio fimbo kubwa ya kuwachapia.
Ualimu ni umaskini, unyonge na kukosa uthubutu
Maji makubwaa +5k ya naulimimi naiacha
Achana nawatu usihangaike nao ishi utakavyooTanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Kabiiiiiiiiiisa lo
Hiyo kada yenu,Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Sehemu ipi yenye shida mkuuhii wilaya kuna shida sehemu
Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
yaaani kuna dharau mpk basi nilikifika pale yaani hii hamashauri daaahhh we acha. maisha uvumilivuUYUI kuna shida pale, ukienda Masijala ya elimu utakutana na walimu kibao wanafatilia barua zao za madai. Eti mwalimu hakulipwa mshahara miezi miwili ya mwanzo wakati anaajiliwa, hapo ameanza kufatilia mwaka 2019 had leo hajalipwa. Sidhani kama kuna watumishi nchi hii wanatia huruma kama walimu asee.
pesa ya likizo mpaka leo hawaeleweki ulkiulizia daaah unapelekwa chimbo kama chimboyaaani kuna dharau mpk basi nilikifika pale yaani hii hamashauri daaahhh we acha. maisha uvumilivu
Mama Naa naomba namba yako PM.. Wewe ni mtu na nusu. Una pointi, nataka nikusikilizeUalimu sio kazi ya kufanya kwenye huu ulimwengu wa tatu basi tu umaskini watu hawawezi kuchomoka huko na hii ndio fimbo kubwa ya kuwachapia.
Ualimu ni umaskini, unyonge na kukosa uthubutu
Kada ya ualimu ilianza kudharauliwa wakati wa UPE badala ya Universal Primary Education ikaitwa Ualimu Pasipo Elimu. Hapo darasa la saba wakawa walimu shule walizosoma. Dharau ilianzia hapo.Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Ukweli mchunguMsidharaulike kwanini ikiwa mnawasaidia kuiba kura.