Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,832
- 37,438
Kuna changamoto nyingi ndio
ila ualimu ni raha sana bana
mi huwa nafeel proud nnapokuwa mbele ya vichwa vingi vinanisikiliza nawapa maarifa!!!!!
That's why am Proud to be a teacher.
Kuna changamoto nyingi ndio
ila ualimu ni raha sana bana
mi huwa nafeel proud nnapokuwa mbele ya vichwa vingi vinanisikiliza nawapa maarifa!!!!!
Sijakuelewa.
Mawazo haya ndio huwa nayapinga kila siku
Umesomea Ualimu Na unafundisha ila Hilo SIO linalokulisha Na kusukuma gurudumu lako la maendeleo Bali kikazi kingine "B" ndicho kinachokusukuma Basi wewe hukupaswa kuwa mwalimu Bali mfanya hiyo Biashara. Hata Kama una vijibiashara au vikazi vingine lazima vichukue only 20-25% of your accumulations lakini lazima Kazi mama iwe sterling kuendeshea maisha.
Kusema serikali inakupa mda-uji Wa Kufanya mambo mengine ni UZEMBE MKUBWA, thats why walimu hawajiandai vema Na matokeo yake ndio zero tunazoziona. Mwalimu huyo auze bajia, Maandazi, vitumbua Na aandae scheme of work Na ma lesson plan, apitie hadidu Za SOMO Na mifano hai yakinifu saa Ngapi??!???
TUSIDANGANYANE
UTICHA UKIKUKALIA POA KOPA FANYA MAMBO YAKO UFANISI KAZINI 20 MAMBO YAKO 80. Maisha yanaenda. Kanuni za mwalimu kufanikiwa. 1. Kopa xna fanya mambo yako 2 fungua miradi ikuzalishie ikibidi fundisha shule hata 2. 3 kuwa karibu na wenzako hasa Mwl. Mkuu/head master.4 kuwa na roho ngumu usiogope vitisho hasa barua za maonyo pind unapokuwa mtoro au unapo shndwa kutimiza majukumu. 5. Fanya kaz kwenye mazingira yenye fursa za kimaendeleo. Usiwe na mkono mfupi kwenye mambo yanayohusu maslah hasa Cheo na Teuzi mbalimbali na semina, madaraja. na uhamisho wa kimaslah zaid. Jiendeleze kielimu. oa au olewa na mtu mwenye kipato msomi mfanyabiashara au ajira kama inawezekana. Tumia fedha yako vizuri weka kumbukumbu zako za kimahesabu inshort HESHIMU PESA YAKO HASA PALE UNAPO ITUMIA AU IHIFADHIA JEE NI SALAMA JE INAJIONGEZA?i.e investive
Mkuu vipi mafanikioUTICHA UKIKUKALIA POA KOPA FANYA MAMBO YAKO UFANISI KAZINI 20 MAMBO YAKO 80. Maisha yanaenda. Kanuni za mwalimu kufanikiwa. 1. Kopa xna fanya mambo yako 2 fungua miradi ikuzalishie ikibidi fundisha shule hata 2. 3 kuwa karibu na wenzako hasa Mwl. Mkuu/head master.4 kuwa na roho ngumu usiogope vitisho hasa barua za maonyo pind unapokuwa mtoro au unapo shndwa kutimiza majukumu. 5. Fanya kaz kwenye mazingira yenye fursa za kimaendeleo. Usiwe na mkono mfupi kwenye mambo yanayohusu maslah hasa Cheo na Teuzi mbalimbali na semina, madaraja. na uhamisho wa kimaslah zaid. Jiendeleze kielimu. oa au olewa na mtu mwenye kipato msomi mfanyabiashara au ajira kama inawezekana. Tumia fedha yako vizuri weka kumbukumbu zako za kimahesabu inshort HESHIMU PESA YAKO HASA PALE UNAPO ITUMIA AU IHIFADHIA JEE NI SALAMA JE INAJIONGEZA?i.e investive